team marioo wanatetemeka....wanate wanate wanatetemekaaaaaa!!
kinachofurahisha zaidi hakuna msanii aliyebeba tuzo zaidi ya moja ukiacha DJ Arafat
kile chenyewe kakikwaa kwa bahati mbaya mwakani wizkid anamkalisha mtu yani domo limshinde davido c maajabu hayo
Hahahaaaaaa namaanisha DAVIDO NI MWANAMUZIKI BORA WA KIUME.
Domo ni mkata mauno.
Lol bora kapata maana ana kiuno kama feni mbovu
Cheketua labda akapige shoo oryampiti singida
Hahahaaaaaa namaanisha DAVIDO NI MWANAMUZIKI BORA WA KIUME.
Domo ni mkata mauno.
Lol bora kapata maana ana kiuno kama feni mbovu
team marioo wanatetemeka....wanate wanate wanatetemekaaaaaa!!
nyi ndo mnarydisha maendeleo nyuma kwa hiyo kila kitu tuige wazungu au nje ya tz na cc tunamsimamo wetu ye domo c alichukua 7 mbona hakurudisha hata moja au coz ni king za maunda kibaaaaaaaaKupitia hizi tuzo za mtv, kuna kitu chakujifunza, jamaa wanatenda haki nakuangalia vingezo mbalimbali zaidi yakupiga kura, sio hizi tuzo zetu zinatoka kama njugu
wizkid na tuzo wapi na wapi hata kura haombi bwana yule anapiga kazi kazi ndo itajieleza sio kila cku click bio to vote click bio to watch video sifaaaa anatakaa
P-square
Kuamini diamond ni best live act mbele ya Mr flavour ni zaidi ya upopona
Kwa Africa hakuna msanii yeyote anaemfikia flavour kwa live performance
Kama unaikosoa tuzo ya utumbuizaji aliyoshinda Kiba ktma mbele ya dai
Kosoa na hii dai hamfikii flavour hata kwa bakora
Hahahaaaaaaa kalambe zile ndimu.
Domo mnenguajiiii
Nauliza tuu wadau, msanii pekee toka EAST AFRICA aliyenyakua tuzo za mtv mama 2015 ni..............
í-½í¹í-½í¹í-½í¹ââí-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²í-½í²
Ha haa oryampiti ndio wapi huko singida? ?