Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

MPANDA Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,295
Reaction score
159
Baada ya kukamilika kwa mahafali ya CHASO ambapo Rai.s Dr. Slaa alitunuku nishani na vyeti kwa wahitimu 183 wa Wanachama wa CHADEMA, kwa takribani saa moja sasa Barabara za mitaa ya manispaa ya Morogoro zimefungwa kupisha msafara WA magari na maandamano ya kuelekea vilipo viwanja vya mkutano.

Viwanja vya sabasaba vimejaa tangu saa saba. Nitaleta picha.

--------------------
attachment.php


attachment.php


attachment.php



attachment.php



attachment.php
 
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.
 
Baada ya kukamilika kwa mahafali ya CHASO ambapo Rai.s Dr. Slaa alitunuku nishani na vyeti kwa wahitimu 183 wa Wanachama wa CHADEMA, kwa takribani saa moja sasa Barabara za mitaa ya manispaa ya Morogoro zimefungwa kupisha msafara WA magari na maandamano ya kuelekea vilipo viwanja vya mkutano. Viwanja vya sabasaba vimejaa tangu saa saba. Nitaleta picha

Asante sana MPANDA Jr Mamilioni ya watanzania tunakutegemea kutuhabarisha kila kitakachotokea hapo.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kukamilika kwa mahafali ya CHASO ambapo Rai.s Dr. Slaa alitunuku nishani na vyeti kwa wahitimu 183 wa Wanachama wa CHADEMA, kwa takribani saa moja sasa Barabara za mitaa ya manispaa ya Morogoro zimefungwa kupisha msafara WA magari na maandamano ya kuelekea vilipo viwanja vya mkutano. Viwanja vya sabasaba vimejaa tangu saa saba. Nitaleta picha

Ahsante kwa taarifa...Tupo pamoja tukisubiri live update kwa hamu..
 
hapa ni kukaa mwendo wa kusikiliza dogo jitahidi kuletaga mapicha si unajuaga sisi ni walevi wa mapicha , pia ni namna ya kuwachosha watani zetu akina Sumu, Rithz, Zemacopolo, Mgonjwa anayetibiwa ulaya ugonjwa ulioshindikana Milembe Kris N.K.
 
Ata mimi nipo hapa tunafanya mambo.
viva CHADEMA.
Ila mimi leo nimepewa kazi maalumu na babu hapa moro ili mh ateme sumu vizuri bila kua na mawazo yoyote!
 
Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini
 
Tunafuatilia kwa Zero Distance , hata kama hayo magamba ni ya mpingo lakini msimu huu ni lazima yatabanduka tu ! Pipooooooooozzz !!!!!
 
We are connected. Siraa ya kumg'oa gamba ni kupiga kura. Wengi ktk mikutano ni ishara nzuri. Kwa kulijua ilo magamba hawataruhusu tume huru ya uchaguzi, hawataboresha daftari la wapiga kura ili vijana wengi wapenda mageuzi wasijiandikishe na watafunga vyuo vikuu wakati wakupiga kura ili vijana wasiweze kupiga kura kwa kuwa wengi wamejiandikisha mijini na vyuoni kwao.

Sln : Razima umati ujue mbinu hizo za adui wamegeuzi ili ata wale wachache walionaviparata wavitumie vizuri.
 
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.

Fanya hivyo mkuu maana bila picha ccm ni wabishi sana, so tupia picha ili iwe evidence to them.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom