Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

IBRAAH

Senior Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
161
Reaction score
47
habar.leo chungaji msigwa(mb) atahutubia wanachi wa iringa ktk eneo la kihesa sokon.wanachi kwakweli ni wengi na wanaendelea kufika ktk eneo.na mchungaji msigwa bado haja wasir katika eneo la tukio...ila gari za polisi ziliz jaa pilis zipo na zimejaza polis kweli kweli.niataendelea kuwajuza kadri mkutano unavyo endelea .
 
karibu na viwanja vya mkutano kulikuwa na msiba nimeona polisi wakishuka na kwenda kuchukua sahan za chakula na kula chakula cha msiban kabra ya kwenda kwenye mkutano huku wamevaa sare za polisi.
 
Ukiona mtu anaogopa polisi ujue ni mhalifu.

Tunawajua polisi iwe unakosa hauna kosa wao wakitumwa wanapiga tu si wanatumwa hawa....kwan watu wa mtwara wanakosa gan hadi wanapigwa? kudai gesi yao ndio kosa?
 
pilisi tunaishi nao uraiani hawana haja kuwaopa,wakileta noma tutamalizana nao kutaa.liwalo na liwe
 
karibu na viwanja vya mkutano kulikuwa na msiba nimeona polisi wakishuka na kwenda kuchukua sahan za chakula na kula chakula cha msiban kabra ya kwenda kwenye mkutano huku wamevaa sare za polisi.

je kwa mwendo huu wa kudoweadowea vya wafiwa , rushwa itaisha nchi hii ?
 
Tunawajua polisi iwe unakosa hauna kosa wao wakitumwa wanapiga tu si wanatumwa hawa....kwan watu wa mtwara wanakosa gan hadi wanapigwa? kudai gesi yao ndio kosa?

Pinda amewaambia wapige tu .
 
tupiamo tupicha mkuu , inasemekana picha zina sauti nyororo sana kuliko wino .
 
Ukiona mtu anaogopa polisi ujue ni mhalifu.

Dah kuna watu wanatumika vibaya sana mleta uzi kaleta kwa nia njema ya kutujuza kinachoendelea na kitakachokuwa kinaendelea mkutanoni JITU linakuja from no where na kuropoka ili kupoteza tension ya watu kujadili kilicholetwa jamvini. Huu ni upuuzi uliopitiliza na wachangiaji wa namna hii tuwapuuze.
 
msibishane na huyo maskini wa fikra!!sijui lukosi ! Hajui alitendalo! Makamanda tujadili yaliyo mbele yetu
 
picha ni muhimu sana makamanda wanataka kuona umati ulioko pale sio vikao vya kitchen part..
 
msigwa kaanza kuongea na anatoa shukran samahan sito weza kutupia picha kila nikijari zinashindikana....msigwa anatoa historia fupi ya maisha kama alikuwa machinga.
 
anaongelea suala la machinga sasa. anasema atawapigani wa machinga waweze kuendelea na biashara zao eneo la mashine tatu...samahan wakuu natumia sim inashindwa kua uplod picture.ila watu niweng kwakweli na wanamwammko wa kuendelea na mabadiliko.
 
Cris Lukosi chilisosi,babayo,sumiyu yetu,sumu,hammyD et all
mnatumika vibaya...
baadae dustbin inawasubiri...
acheni chadema wajadili mambo yao sio kila post lazima muandike
ni ujinga na ujuha..
 
Huu uzi mbona umedoda makamanda mpo wapi.
 
Back
Top Bottom