Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

Live Updates: Mkutano wa CHADEMA Iringa (Kihesa Sokoni)

Je suluhu ya Machinga kutumia eneo la Mashine Tatu imepatikana?
 
Chadema iko imara inasambaa nchi nzima kama viwavi wale ambao bado wanatibiwa(vichaa)tunawapa pole chadema hairudi nyuma inazidi kupendwa,inapendwa na inapendeka.hongereni kwa kuimarisha redbrigade kuanzia uchaguzi wa madiwani 2014 ndio mwisho wao .kama greeguard inabaki lazima red brigade isamba kwa kasi nchi nzima hawana pa kukimbilia ccm.
 
Chadema mwaka huu mtawafanya maghamba waandae mabomu mengi, maana dar, mbeya, iringa nk, mnapiga mikutano nimeamini hakuna kama chadema as a political party!
 
MH kakaribisha maswali kwa wananchi..
swali la 1....jofre magund andio anauliza maswali.....anauliza swali juu ya eneo la mashine tatu kuwa litakuwa stendi je litakuwa halijakuwa kikwazo kama walipo sema mara ya kwanza.....kauliza tena juu ya swali la kodi ya lain
2....mwingine anauliza swali juu ya michango ya elim je mbona imezidi sana?.......pia kauliza swali juu ya madiwan kufanya ziala maeneo mbalimbali je kunafungu la ziala au ndio ufujaji wa pesa za walipa kodai
 
swali la 4.....anauliza juu ya nyumba za mtaa wa mafifi ambazo zilipigwa X na zinahitaji kubomolewa je ni sahihi kubomoa bila fidia.
swali la 5 anaulizwa swali juu ya nyumba zilizobomolewa barabara ya IRINGA DODOMA..
SWLI LA 6......ELIM YA TANZANIA IMEKUWA KAMA KITU AMABCHO NI KAMA KAMPEN JE KUNA MIKAKATI YOYOTE ILIYO BORA JUU YA KUPANDISHA ELIM
 
swali la 7kuhusu maboresho na uwep wa viwanja mashulen kwan hakuna vilivyo bora na maeneo mengine hakuna kabisa viwanja vya michezo.
 
MAJIBU:KUHUSU MASHINE TATU.anasema madiwan walitakiwa kuwapangia sumatra juu ya mipango yote ya mji lakin sumatra ndio walipangia madiwan namna ya matumizi ya eneo la mashine tatu.kubadili kuwa standi.
SWALA LAIN:ANASEMA KUNAFOM ZINAPITA KUPINGA SWALA LA KODI ZA LAIN.NA MNYIKA AMESHA ANZA NA TUNATAKIWA KUSAIN FOMU HIYO.
 
MAJIBU: swala kla michango ya elim anawaomba wadau wa elim ikiwa pamoja na wananchi na wakaz wa manispaa kuendelea kuchangia masuala la elim ili tuendele kuinua taaluma yetu.
 
MAJIBU;suala la nyumba za mafifi anasema ngoja alichunguze hawezi kutolea ufafanuz sahiz anaomba atafika eneo husika la mafifi aangalie ndio atatolea ufafaunuzi.
 
mkutano umemalizika na amewaomba wananchi wachangie ujenzi wa ofisi ya chadema na watu wamejitokeza na wamekubali kuchangia.
 
mkutano umemalizika na watu wanawahi manyuman na ratiba keshi ni eneo la mrandege nilie walitea live habari hiz ni mim IBRAAH.....KWA HISAN YA CHADEMA.
 
Je suluhu ya Machinga kutumia eneo la Mashine Tatu imepatikana?

bado mkuu madiwan wameamuriwa na sumatra kutumia kama stend na ilitakiwa madiwani wao ndio waamue juu ya matumiz ya mji.
 
Hongera mh. Msigwa wapeni elimu ya uraia wana iringa ili tupate mabadiliko yaliyokusudiwa kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom