Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Ila kwa hili la majimbo yatupasa tuwe makini sana wakati wa kulipeleka kwa wananchi!!kwani yaonekana dhahiri kuwa watanzania wengi bado hawajawa na elimu(ufahamu) wa kutosha kuhusiana na issue hii ya majimbo,hivyo yaweza tumika kinyume na mahasimu wetu CCM kuonyesha kuwa CDHADEMA ni chama chenye lengo la kuigawa nchi,na kama member mmoja alivyowahi ku comment hapa ni vyema zaidi kama harakati hizi zingeanzia upande mwingine kabisa tofauti na kaskazini,ili kuondoa dhana iliyopandikizwa kuwa cdm ni chama cha kaskazini.[/QUOTE WANANCHI WAPEWE ELIMU KUHUSU HAYA MAJIMBO
Big up sana makamanda wa Arusha kwa kutujuza yote yaliyojiri huko Arusha katika uzinduzi wa ''Northern Province''.
Tumewasoma vilivyo makamanda Crashwise, Mungi, LiverpoolFC na wengine wote mliotiririsha habari hapa JF!
Big up sana makamanda wa Arusha kwa kutujuza yote yaliyojiri huko Arusha katika uzinduzi wa ''Northern Province''.
Tumewasoma vilivyo makamanda Crashwise, Mungi, LiverpoolFC na wengine wote mliotiririsha habari hapa JF!
Big up sana makamanda wa Arusha kwa kutujuza yote yaliyojiri huko Arusha katika uzinduzi wa ''Northern Province''.
Tumewasoma vilivyo makamanda Crashwise, Mungi, LiverpoolFC na wengine wote mliotiririsha habari hapa JF!
Ila kwa hili la majimbo yatupasa tuwe makini sana wakati wa kulipeleka kwa wananchi!!kwani yaonekana dhahiri kuwa watanzania wengi bado hawajawa na elimu(ufahamu) wa kutosha kuhusiana na issue hii ya majimbo,hivyo yaweza tumika kinyume na mahasimu wetu CCM kuonyesha kuwa CDHADEMA ni chama chenye lengo la kuigawa nchi,na kama member mmoja alivyowahi ku comment hapa ni vyema zaidi kama harakati hizi zingeanzia upande mwingine kabisa tofauti na kaskazini,ili kuondoa dhana iliyopandikizwa kuwa cdm ni chama cha kaskazini.