neggirl JF-Expert Member Joined Jul 30, 2009 Posts 4,862 Reaction score 2,156 Dec 1, 2013 #1 Kwa wapenzi wa stand up commedy, leo ndio show ya mwisho wa mwaka iliyoandaliwa na Evans Bukuku (Vuvuzela Co. Ltd). kutakuwa na wachekeshaji wa ndani na wengine kutoka kenya na nigeria.
Kwa wapenzi wa stand up commedy, leo ndio show ya mwisho wa mwaka iliyoandaliwa na Evans Bukuku (Vuvuzela Co. Ltd). kutakuwa na wachekeshaji wa ndani na wengine kutoka kenya na nigeria.
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,143 Reaction score 7,403 Dec 1, 2013 #2 Sema nini kinaendelea
neggirl JF-Expert Member Joined Jul 30, 2009 Posts 4,862 Reaction score 2,156 Dec 1, 2013 Thread starter #3 sasa anaperform evans. very interesting. anafuatia kijana wake.. Ray
neggirl JF-Expert Member Joined Jul 30, 2009 Posts 4,862 Reaction score 2,156 Dec 1, 2013 Thread starter #4 nimependa Ray anaigiza sauti za watangazaji na watu maarufu, wawapo kazini na wanapokuwa na wapenzi wao vyumbani.. lolz kaigiza wengi ikiwemo mkapa, reinfred masako, mengi n.k
nimependa Ray anaigiza sauti za watangazaji na watu maarufu, wawapo kazini na wanapokuwa na wapenzi wao vyumbani.. lolz kaigiza wengi ikiwemo mkapa, reinfred masako, mengi n.k
sad_eyes Senior Member Joined Nov 30, 2013 Posts 148 Reaction score 35 Dec 1, 2013 #5 Dada Huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost craps????????
M Mavotah JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 280 Reaction score 119 Dec 1, 2013 #6 sad_eyes said: Dada Huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost craps???????? Click to expand... Muache atupe taarifa, wewe ndo huna kazi ya kufanya kwa kufuatilia vitu visivyokuhusu
sad_eyes said: Dada Huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost craps???????? Click to expand... Muache atupe taarifa, wewe ndo huna kazi ya kufanya kwa kufuatilia vitu visivyokuhusu
neggirl JF-Expert Member Joined Jul 30, 2009 Posts 4,862 Reaction score 2,156 Dec 1, 2013 Thread starter #7 sad_eyes said: Dada Huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost craps???????? Click to expand... karibu ucheke mwaya uongeze life!
sad_eyes said: Dada Huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost craps???????? Click to expand... karibu ucheke mwaya uongeze life!
F furahi JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 945 Reaction score 197 Dec 4, 2013 #8 Comedian gani huyo most of the tym anaitumia kujichekesha mwenyewe?