Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
ndo maana yake eebaba!
Ile over head kick yake haina kazi tena kwa jinsi alivyonyanyapaliwa! Hahaha
ndo maana yake eebaba!
Leo mpaka mishipa ipasuke kabisa! Anatuparkia mabehewa sisi Liver siku ile? Hapa ATM wasithubutu kupark bus washambulie kwa kwenda mbele ili huyu mshenzi leo acheze mpira!
Mourinho ni specialist wa kupaki basi tu, mpira wa bila kupaki basi hauwezi hata kidogo!!!
Leo mpaka mishipa ipasuke kabisa! Anatuparkia mabehewa sisi Liver siku ile? Hapa ATM wasithubutu kupark bus washambulie kwa kwenda mbele ili huyu mshenzi leo acheze mpira!
Wadau droo yoyote itawatoa chelsea? Nisaidieni
anasubiri final score..
Wadau droo yoyote itawatoa chelsea? Nisaidieni
teh teh teh mkuu inaonekana una hasira nae sana joseee mouree mzee wa kontena