Simba wakipoteza hii mechi natangaza kuwa shabiki mfu wa simba kuanzia jioni pale mpira utakapoisha na sitakaa niende uwanjani tena kuangalia mechi yoyote ya Simba wala kukaa kwenye TV kuangalia wakati Simba inacheza.
Simba wakipoteza hii mechi natangaza kuwa shabiki mfu wa simba kuanzia jioni pale mpira utakapoisha na sitakaa niende uwanjani tena kuangalia mechi yoyote ya Simba wala kukaa kwenye TV kuangalia wakati Simba inacheza.