Live update: Simba SC va Azam FC

Live update: Simba SC va Azam FC

Kwa mara ya kwanza Leo nimeingia huku kwenye Soka la majungu. Timu haishindi mpaka iloge? Kama mtakumbuka miaka michache klab kubwa mbili za hapa bongo zinapokutana, kuna maiti zilipotea pale temeke hosp na pale bugando hospitali.
Kilabu cha Azam fc wanajua mpira kuliko simba na yanga, tatizo la azam hawajui fitna la soka. Soka linahitaji fitna, kama ilivyo kwa Juventus pale italia, Man united pale uk nk.
Naungalia mpira simba mara ya kwanza leo tangu enzi za Ball jugler Malota Soma na wenzie kina Muhamed Mwameja, Raphael Paul,Twaha Hamidu, kasongo Athuman na wengine. Mpira ni wa hovyo kabisa.
Kwani wee mwenzetu umetokea wapi? ulikua usingizini!!!? maana umekurupuka! Anyway,hao Azam watajifunza tu iyo fitina!Ngoja kwanza Simba ichukue kombe lao mwaka huu!!nafasi ya pili tutawaachia. Katambuga ajitahidi ya tatu ama akifanya masihara ataikosa hata iyo ya tatu!!!!
 
Kweli wakisawazisha simba lazima watafanya sherehe
 
Uwezo wa golikipa wa simba ni mdogo sana, ila defence ya simba ipo vizuri sana na nadhani simba wanamkumbuka sana kaseja
 
Kwani wee mwenzetu umetokea wapi? ulikua usingizini!!!? maana umekurupuka! Anyway,hao Azam watajifunza tu iyo fitina!Ngoja kwanza Simba ichukue kombe lao mwaka huu!!nafasi ya pili tutawaachia. Katambuga ajitahidi ya tatu ama akifanya masihara ataikosa hata iyo ya tatu!!!!

ndoto za mchana kweupe pe!
 
wakuu ngapi ngapi hapo:bump2::bump2::bump2::juggle:
 
Huyi kipre cheche kafunga goli ambalo hadi sasa nalitafakari. Huyu dogo balaa. Mia
 
Kibadeni anafanya SUB kama David moyes anainufaisha azam
 
Back
Top Bottom