Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,320
- 108,378
Mkuu gyo ana mkuna ma mod ndevu, nipo apa sokoine hamna mechi
Ok mkuu baponyeghe...
Mkuu gyo ana mkuna ma mod ndevu, nipo apa sokoine hamna mechi
Kwani wee mwenzetu umetokea wapi? ulikua usingizini!!!? maana umekurupuka! Anyway,hao Azam watajifunza tu iyo fitina!Ngoja kwanza Simba ichukue kombe lao mwaka huu!!nafasi ya pili tutawaachia. Katambuga ajitahidi ya tatu ama akifanya masihara ataikosa hata iyo ya tatu!!!!Kwa mara ya kwanza Leo nimeingia huku kwenye Soka la majungu. Timu haishindi mpaka iloge? Kama mtakumbuka miaka michache klab kubwa mbili za hapa bongo zinapokutana, kuna maiti zilipotea pale temeke hosp na pale bugando hospitali.
Kilabu cha Azam fc wanajua mpira kuliko simba na yanga, tatizo la azam hawajui fitna la soka. Soka linahitaji fitna, kama ilivyo kwa Juventus pale italia, Man united pale uk nk.
Naungalia mpira simba mara ya kwanza leo tangu enzi za Ball jugler Malota Soma na wenzie kina Muhamed Mwameja, Raphael Paul,Twaha Hamidu, kasongo Athuman na wengine. Mpira ni wa hovyo kabisa.
Simba acheni rafu basi...
Kwani wee mwenzetu umetokea wapi? ulikua usingizini!!!? maana umekurupuka! Anyway,hao Azam watajifunza tu iyo fitina!Ngoja kwanza Simba ichukue kombe lao mwaka huu!!nafasi ya pili tutawaachia. Katambuga ajitahidi ya tatu ama akifanya masihara ataikosa hata iyo ya tatu!!!!
Vijana zamu yetu sasa kuchomoa