Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Mpira uishe? kwani Simba kesha fungwa?
Sisi hatutaki kuona Simba wala Azam kafungwa, tunapenda matokeo yabaki kama yalivyo sasa, kama hilo ndilo takwa letu, kwa nini mpira usiishe sasa?
Mpira uishe? kwani Simba kesha fungwa?
Mbeya hali ikoje?
mombeki too slow , changamka kijana
Mkuu gem ni kesho sio leo
usije ukakimbia uzi mkuu
Dk 65
Simba SC 1 - 1 Azam FC
Mbona kuna mtu kaandika hapa kuwa Prisons yupo mbele kwa bao 1
kwani hii tenis au golf, mpira gangamala
Kwa mara ya kwanza Leo nimeingia huku kwenye Soka la majungu. Timu haishindi mpaka iloge? Kama mtakumbuka miaka michache klab kubwa mbili za hapa bongo zinapokutana, kuna maiti zilipotea pale temeke hosp na pale bugando hospitali.
Kilabu cha Azam fc wanajua mpira kuliko simba na yanga, tatizo la azam hawajui fitna la soka. Soka linahitaji fitna, kama ilivyo kwa Juventus pale italia, Man united pale uk nk.
Naungalia mpira simba mara ya kwanza leo tangu enzi za Ball jugler Malota Soma na wenzie kina Muhamed Mwameja, Raphael Paul,Twaha Hamidu, kasongo Athuman na wengine. Mpira ni wa hovyo kabisa.