Simba ukimkata MKIA tu, hana maneno
Uyu mombeki ni wa kupiga makofi
Nawaombea mtoe droo
MUNGU SAIDIA MNYAMA AWALE HAWA JUISI:laser::frusty:
dakika za maajabu zinakaribia!!!
Sijaiona timu yakuifunga Azam mwaka huu.
Huyu Mwombeki ni wa kumtoa tu mbona anaonekana amechoka hivi? Kila akipokea mpira anaupoteza tu!Izi dakika nzuri sana kwa kuchomoa, come on mnyama
Tulieni,Football 90 mins!!