Mimi sichekelei kihivyo maana tunawataka sana ili tujiongezee utukufu kwa kuwafunga nyie, tulitaka mioyo yenu iwe migumu kama ilivyokuwa kwa Farao ili siku tukikutana tuwaonyeshe kazi na kujiongezee utukufu lakini sasa mnaelekea kuwa laini laini sana.