Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,148
- 162,558
Muda huu ndio Raisi Kikwete amewasili katika viwanja vya Ikulu na zoezi la kuapishwa mawaziri ndio limeanza ambapo wanakula kiapo hicho mbele ya Raisi Kikwete.
Dr.Husseim Mwinyi ndio amekuwa wa kwanza akifuatiwa na Mathias Chikawe.
Dr.Husseim Mwinyi ndio amekuwa wa kwanza akifuatiwa na Mathias Chikawe.