Rage bana..........Sasa kilichomfanya akimbilie kuwauza akina Mbwana Samatta na Patrick Ochan ni kipi?,si nagesubiri tu ndo awauze kwa TPME..........Aramba aramba tena aaaaaaaaaaam aaaaaaaaaaaaaam.....................
Ni muda muhafaka Rade kujiuzuru: tangu apewe nafasi ya M/kiti, Simba imezidi kudolora: imepoteza Ubingwa mikononi mwake, Kocha Phiri ameondoka kwenye kipindi chake, Afsa habari wa timu Ndimbo kaachia ngazi kwa sababu yake, Simba imepokea vichapo mfululizo kwenye utawala wake, Samata na Ochan ameuza sijui pesa kapeleka wapi: sasa Wakati wake wa kuachia ngazi umefika rasmi leo; bilashaka atatekeleza bila wanachama kuandamana.
Wadau Mechi zimeisha turudi kwenye majukwaa yetu sasa maana naona wote tumehamia hapa kule kwingine hakuna watu sisi tushiriki michezo ya Bao, Draft, Mdako, Rede , wa kuvuta kamba, kufukuza kuku mingine nimesahau
Wadau Mechi zimeisha turudi kwenye majukwaa yetu sasa maana naona wote tumehamia hapa kule kwingine hakuna watu sisi tushiriki michezo ya Bao, Draft, Mdako, Rede , wa kuvuta kamba, kufukuza kuku mingine nimesahau