
- Joined
- Apr 13, 2011
- Messages
- 62,689
- Likes
- 31,758
- Points
- 280

FaizaFoxy
JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2011



John Shibuda, anawapakia magwanda wenzake kimafumbo bungeni.
Moja ya alilosema, ni inakuwaje "kengeza" mmoja asisikilize hoja za wenzake kwa uroho wa "madaraka"?
Nikiipata Hansard ntaendeleza yote aliyoyasema.
Kengeza huyo ni nani? Shibuda umeniacha hoi.
Kimenuka.
Moja ya alilosema, ni inakuwaje "kengeza" mmoja asisikilize hoja za wenzake kwa uroho wa "madaraka"?
Nikiipata Hansard ntaendeleza yote aliyoyasema.
Kengeza huyo ni nani? Shibuda umeniacha hoi.
Kimenuka.