Nilitarajia kama rais mwenye maamuzi ya mwisho pamoja na maelezo ya utangulizi kwa kila jambo angehitisha namna hii.
1. Tatizo la kuchinja kuanzia leo uchinjaji ni ........... na atakaye kwenda kinyume na hivyo ata.......
2. Tatizo la uchochezi hasa wa kidin kuanzia leo ..........atakayepatika anahubili kwa misingi ya ........ achukuliwe hatua .....atakaekamatwa na kanda, dvd, cd, vcd nk za uchochezi mara moja a.........atakayebainika kutengeza na kusabaza vitu hivi mara moja ......
3. Kuhusu uchomaji wa makanisa kuanzia leo mkowa au eneo uhalifu huu ukitokea ndani ya muda flani wahalifu wawe wamepatikana bila hivyo mkuu wa mkowa, Rpc na afisa upelelezi mkowa waachie ngazi mara moja kwa uzembe.
4. tatizo la kushuka kwa elimu pamoja na ............ mwisho wahusika wajitathimi kama wanafaa kuendelea kubakia wizarani .......maana taifa lolote linasimama kupitia elimu.
5. Kuhusu vyombo vya habari na wamiliki wake...........
Cha ajabu kikwete ameporomoa story kama muuza kahawa asiye na maamuzi wala mamlaka ilimradi anawaburudisha wateja wake kahawa yake iendelee kunyweka.
Nasikitika upuuzi wa uchochezi, upuuzi wa kogombea kuchinja, nk vitaendelea maadamu mwenye nyumba bado amelala fofofo na hana cha kumua na hatua za kudhibiti ujinga huu.