Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,230
- 113,588
Nyama au "ngwala" za kuku...! Duh, babake tumechabangwa na snow storm huku si ki**nge, kama futi nzima na ushee!!
Oyaaa...dogo nilikupa shout out.....
Nyama au "ngwala" za kuku...! Duh, babake tumechabangwa na snow storm huku si ki**nge, kama futi nzima na ushee!!
Wazee wote ahsanteni sana kwa kuwa nami it was hot !! Bomba sana wiki ijayo tena.
Hujamrusha Nyama hatari......Oyaaa...dogo nilikupa shout out.....
Hujamrusha Nyama hatari......
1.Mbonji mbayaNilitegemea wewe ndo ungemrusha.....kwa nini hukufanya hivyo?
1.Mbonji mbaya
2.Sikuwa na enough credit
Mchango au swali, hivi hii radio ipo inasikika mpaka bongo na jee inapatikana kwenye channel gani! Kama bado ingekuwa bomba sana ikiwezekana kufanyika hivyo. Maana inakuwa tamu sana mpaka yule bibi yangu wa kibololoni akitune ananikuta hewani namwagia salamz tuu toka majuu. Nipigie ule wimbo wa dunia tunapitaa (Samba mapangala)
Nyani leo hutumi salamu?
Kuna mabingwa wenzako wakina Fambo wa Fambo,Mama Suzy Ngodoke kwa kifupi wasukuma wanapenda kutuma salamu redioni,na unamkuta kaweka sauti mpaka mwisho ajiskie.
Na ndugu zako wa Maswa mbuna unewasahau........?Napenda kumtumia salamu Kelly01 akiwa pale Chi Town....