Piiiipooooozzzzzzzzzz kwa sanaaaaaaaaaaa!!
shukran kwa taarifa kiongozi.Leo kuna mkutano wa hadhara wa chadema mkoa wa shinyanga katika viwanja vya mahakama nguzo 8 majengo. Mgeni rasmi ni mwenyekiti wa CDM Taifa mh. Freeman Mbowe... Sasa tunasubiri mkutano uanze huku tukiburudishwa na gwaride la red brigade
shukran kwa taarifa kiongozi.
vipi hawa hapa chini wakoje huko?
![]()
shukran kwa taarifa kiongozi.
vipi hawa hapa chini wakoje huko?
![]()
Hao lazima wawepo kwa wingi tu. Chadema si kinajulikana ni chama cha wahuni na wafanya fujo.
Si ni juzi tu huyo Mbowe alikuwa Songea akifanya mkutano wa hadhara, sasa leo tena yuko Shinyanga!! Huyo jamaa huwa hachoki tu?
Cjaona polisi zaidi ya red brigade ambao ndio wslinzi
Kweli mwaka huu CHADEMA mmeamua kila siku ni harakati tu, sijui mnapata wapi muda wa kuweza kupumzika?
Hivi majimbo yenu huwa mnayahudumia saa ngapi, maana kila siku mpo na mikutano, mijadala, maandamano, mahakamani, midahalo nk?
Mkuu CHAMVIGA inaonekana wananchi wengi wanapenda kuwasikiliza hao CHADEMA haijalishi ni nini wanakisema, maana kila kukicha watu wanazidi kujaa kwenye hiyo mikutano yao.Watanzania wanaitaji kusikia chadema mnalipi jipya la kuwaambia sio kelele ya uchochezi na kuwagombanisha watanzania.
Watanzania wanaitaji kusikia chadema mnalipi jipya la kuwaambia sio kelele ya uchochezi na kuwagombanisha watanzania.