chezea mama sipora liana aliwabana MAGAMBA mpaka ushuzi uliwatoka hawakuiba kura hata chembe,mi nasubiri tu uchaguzi wa sombetini tuchukue kata hiyo M4C iki chama bwana nomaaa.
usibishane na mwendaazimu aliyenunuliwa na hela za kifisadi na usiwaite wakuu ni mashetani hayo leo gamba lao limekiri kwamba wanafanya ujangili, chezea kinana....!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.