Hivi leo kumbe tarehe 5?Wakuu match hii inachezwa katika uwanja wa Highland Estates,
Imeanza saa 10,
Hadi sasa ni dakika ya 20 na matokeo ni 0-0 endeleeni kuwa karibu nami ili kuendelea kuwapa Updates
Daah kagol kamoja kwa mechi nyingi hivi?Bonge la goal,
Hakika feisal amerudi
Beberu umenyeshewa mkuu?😂Nimekosea, ni tarehe 11/11 leo
Amani tu mkuu😂😂😂😂😂😂
Ihefu FC ndio level yao, waache watambe.Azam wanaupiga mpira mwingi sanaaaaa