Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
We ulikua una angalia taifa stars ya wanake naona unabisha kila kitu..!Unaongea yote unasahau unayecheza naye ana uwezo gani..
Kocha alikosea formation, Ulitaka mfumo upi utumike?
Naona unanipotezea mda, Ngoja nikuache kocha wa JF.