share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,457
Kushinda mechi hii tulimuhitaji Mahera awe referee wa kati na Sirro awe getini kulinda ubao wa matangazo wenye ushindi feki.Labda kama CAF wataruhusu NEC na Geshi la polisi wawe sehemu ya waamuzi vinginevyo kamwe sisi hatuwezi shinda jambo lolote lenye mazingira ya haki na usawa tumeshazoe utapeli na ulaghai kwa kila jambo lenye ushindani.Leo tusipokula 3-0 basi Mungu Mkubwa...