LIVE from Juventus Stadium: Juve VS Madrid...the match is ON...

LIVE from Juventus Stadium: Juve VS Madrid...the match is ON...

Gang Chomba

Platinum Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,734
Reaction score
4,871
Juve wamekuja kujiuliza hapa kwao, baada ya kulambwa goli 2-1 hukoo El Santiago Bernabeu.

Kwa harakaharaka tuanze na kikosi cha Juve.
Golikipa ni Gigi Buffon, ukuta umewakusanya Caceres, Bonucci, Barzagli, na Asamoah.
Wakati kiungo kimewajumuisha Mzee Pirlo, Marchisio, Pogba na Vidar Pardo.
Wakati kule mbele kuna wageni, yaani yupo Ngoma ngumu Oscar Carlos Tevenga na Lrolent...


kwa upande wa Real Madrid Golikipa yupo Iker Casilas, wakati nafasi ya ulinzi ina watu watatu hapa nawazungumzia Varane, Abdalah Pepe na Sergio Lamos.
Kiungo kuna Modric, Alonso, Bale na nani sijui...
Wakati pale Mbele yupo Ronaldo na Benzema...

Huku kocha Conte...
Kule kocha yupo bingwa wa Mbinu yaani Carlo Ancelotti ambae ameshalibeba kombe hili mara mbili akiwa mchezaji, na mara mbili akiwa kocha...
Na mara zoote hizo akiwa na ile klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan...

Forza Milan.
 
namuona Carlo Ancelotti ananikumbusha kikosi cha Milan cha mwaka 1989 kilichokusanya wataliano 8 na waholanzi watatu yaani Van Barsten, Rhiijkard na Gullit...
Huku winga akiwa Ancelotti, winga Donadoni...

Dah Milan sumu kwa kweli
 
Eti Abdalah Pepe, ha ha ha ha ha Gang Chomba bhana.
 
Kesho Messi anaondoka na mpira ndani ya Camp Nou.
 
hah hah kesho maiti inamkamua Ngama muoshaji...
 
juve wanapata penati...
vidar anakwenda kuweka mpira pale...
goooooooooooool
 
alkisas haq...
Juve wanazawadia tuta la uooongo...dah
Hapa wangekuwa ni mashabiki wa Simba wangeshayang'oa mabenchi haya ya huu uwanja...
 
wapo wanachungulia kisha wakiniona wanageuza...
 
goma pasu kwa pasu...
Nusu ya kwanza imekata hapa, Juve anaongoza still...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom