Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,871
Juve wamekuja kujiuliza hapa kwao, baada ya kulambwa goli 2-1 hukoo El Santiago Bernabeu.
Kwa harakaharaka tuanze na kikosi cha Juve.
Golikipa ni Gigi Buffon, ukuta umewakusanya Caceres, Bonucci, Barzagli, na Asamoah.
Wakati kiungo kimewajumuisha Mzee Pirlo, Marchisio, Pogba na Vidar Pardo.
Wakati kule mbele kuna wageni, yaani yupo Ngoma ngumu Oscar Carlos Tevenga na Lrolent...
kwa upande wa Real Madrid Golikipa yupo Iker Casilas, wakati nafasi ya ulinzi ina watu watatu hapa nawazungumzia Varane, Abdalah Pepe na Sergio Lamos.
Kiungo kuna Modric, Alonso, Bale na nani sijui...
Wakati pale Mbele yupo Ronaldo na Benzema...
Huku kocha Conte...
Kule kocha yupo bingwa wa Mbinu yaani Carlo Ancelotti ambae ameshalibeba kombe hili mara mbili akiwa mchezaji, na mara mbili akiwa kocha...
Na mara zoote hizo akiwa na ile klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan...
Forza Milan.
Kwa harakaharaka tuanze na kikosi cha Juve.
Golikipa ni Gigi Buffon, ukuta umewakusanya Caceres, Bonucci, Barzagli, na Asamoah.
Wakati kiungo kimewajumuisha Mzee Pirlo, Marchisio, Pogba na Vidar Pardo.
Wakati kule mbele kuna wageni, yaani yupo Ngoma ngumu Oscar Carlos Tevenga na Lrolent...
kwa upande wa Real Madrid Golikipa yupo Iker Casilas, wakati nafasi ya ulinzi ina watu watatu hapa nawazungumzia Varane, Abdalah Pepe na Sergio Lamos.
Kiungo kuna Modric, Alonso, Bale na nani sijui...
Wakati pale Mbele yupo Ronaldo na Benzema...
Huku kocha Conte...
Kule kocha yupo bingwa wa Mbinu yaani Carlo Ancelotti ambae ameshalibeba kombe hili mara mbili akiwa mchezaji, na mara mbili akiwa kocha...
Na mara zoote hizo akiwa na ile klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan...
Forza Milan.