Live from Dodoma: Wagombea CCM nafasi mbalimbali 2012

What difference does it make whether uwe wewe au yule ndio Rais? Wote si ndio hao hao....mnazungukana wee na kusemana vibaya. Mnageukana kila asubuhi...mnataka kusema hatuoni? Kwangu mimi nashangaa mara leo mnasema huyu mzuri, kesho mnabadilika huyu ndio mzuri....kazi mnayo. Uzuri ni kuwa yoyote atakayekuwa Rais hana lolote la kunisaidia mimi binafsi so I have got nothing to lose

Wrong sir! Supposing kukiwepo na rais ambae atatunga sheria zitakazo kuzuia kufanya shughuli zako halali kutunza familia yako, won't you lose something?
 
Naomba unijurishe majina ya wagombea wa Uenyekikiti, umakamu Uenyekiti na katibu mkuu ngazi ya Taifa kabla sijaungana na wewe kuipongeza CCM kwa utaratibu mzuri wa kupata viongozi wake.
Sio kwa CCM tu. Hata vyama vingine isipokuwa CUF wenyeviti hawajazi fomu kugombea. Kamati Kuu zao zinapendekeza majina yasiyo na upinzani kwa mikutano yao mikuu basi. Kinachonitisha mimi ni hii tabia inayokua kwa kasi ya mtu na familia, ndugu, maswahiba kujipanga kugombea nafasi mbalimbali kwenye chama.
 
What difference does it make whether uwe wewe au yule ndio Rais? Wote si ndio hao hao....mnazungukana wee na kusemana vibaya. Mnageukana kila asubuhi...mnataka kusema hatuoni? Kwangu mimi nashangaa mara leo mnasema huyu mzuri, kesho mnabadilika huyu ndio mzuri....kazi mnayo. Uzuri ni kuwa yoyote atakayekuwa Rais hana lolote la kunisaidia mimi binafsi so I have got nothing to lose

Labda mwenzetu upo nchi ya ughaibuni, lakini kama wewe ni MTz lazima uguswe na Rais ajae ... na ni Lowasa utake usitake , na atashinda kwa kishindo.
 
Ombi kwa waliotemwa! Tunaamini wengi wa waliotemwa ni wale wanaopinga utawala mbovu wa Kikwete! Tunawaomba wabaki huko huko ndani ya ccm, wasaidie kukiua taratibu kwa kukinyonya damu mpaka inabaki skeleton!

...... Usiwaponze .... hao wameonyeshwa njia ya kutupwa katika siasa za TZ kupitia CCM, ndio mwanzo wa kufyekwa katika kila wanachogombea! watanyanyapaliwa, wanaonekana kama wenye ukoma ... bora watafute pa kukimbilia .. kifupi imeshawa - cost... CCM wanasema Chama kina wenyewe
 
Sio kwa CCM tu. Hata vyama vingine isipokuwa CUF wenyeviti hawajazi fomu kugombea. Kamati Kuu zao zinapendekeza majina yasiyo na upinzani kwa mikutano yao mikuu basi. Kinachonitisha mimi ni hii tabia inayokua kwa kasi ya mtu na familia, ndugu, maswahiba kujipanga kugombea nafasi mbalimbali kwenye chama.
WildCard si kweli hiki unachoongea, huu ni upotoshaji, Chadema Mbowe ilikuwa apambane na Zitto Kabwe na wote walijaza fomu kugombea Uenyekiti, ila ni busara tu za wazee kwa kutambuwa mchango mkubwa wa Mbowe tangu alipoitowa Chadema na hapa alipoifikisha hata kipofu anaona wazi kwamba Mbowe anapaswa kuliongoza jahazi, na Zitto aliombwa aondoe jina lake na kwa mapenzi yake kwa Chadema alikubaliana na ushauri wa wazee hawa.
 
Last edited by a moderator:
Kazi hipo maana sijui kama mwisho wa siku tukaja waona walewale kwenye utawala wetu pendwa wa cha cha kijani
 
Kama ulivyo usemi wa "mtoto wa nyoka ni nyoka" na ndivyo itakavyo kuwa "mtoto wa fisadi ni fisadi". Itakuwaje mtoto aliyekuzwa akiona ubora wa maisha yao yanatokana na ufisadi, na yeye aache kuendeleza ufisadi?
 
Wrong sir! Supposing kukiwepo na rais ambae atatunga sheria zitakazo kuzuia kufanya shughuli zako halali kutunza familia yako, won't you lose something?

It does not make any difference...ni CCM na mambo yao tu ndio wanajari.
 
Labda mwenzetu upo nchi ya ughaibuni, lakini kama wewe ni MTz lazima uguswe na Rais ajae ... na ni Lowasa utake usitake , na atashinda kwa kishindo.

I can assure you it does not make any difference kwangu. Muendelee kupigana mitama wee mwisho wa siku mtaamua wenyewe which is which. Sifuatilii sana hizi siasa zenu za maji taka...
 
WildCard si kweli hiki unachoongea, huu ni upotoshaji, Chadema Mbowe ilikuwa apambane na Zitto Kabwe na wote walijaza fomu kugombea Uenyekiti, ila ni busara tu za wazee kwa kutambuwa mchango mkubwa wa Mbowe tangu alipoitowa Chadema na hapa alipoifikisha hata kipofu anaona wazi kwamba Mbowe anapaswa kuliongoza jahazi, na Zitto aliombwa aondoe jina lake na kwa mapenzi yake kwa Chadema alikubaliana na ushauri wa wazee hawa.
Kama jina la Zitto halikufika kwenye kikao husika kwa ajili ya maamuzi ni yaleyale tu. Unamkumbuka Mzee mmoja wa Musoma, Munema, naye alitaka kupambana na Mwalimu kwenye Uenyekiti wa CCM mwaka 1987? Hizi unazoita busara za wazee zilitakiwa zionyeshwe ndani ya vikao. Nje ya hapo hilo ni zengwe tu. Mbowe sio Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA. Niambie waliomtangulia walipambana na nani kwenye nafasi hiyo.
 
Waislam wenzangu wengi sana........kisha nashindwa kuconect Kuandaliwa kwa Lowassa....kisha naconnect na kutaka kujua idadi yetu kwenye sensa religiously!!!!!
 
Back
Top Bottom