Utawala huu wa awamu ya nne una mambo mengi sana ambayo ni tofauti kabisa na tawala zilizopita Mwl. Nyerere mama Maria hajawahi kujiweka kimbelembele kugombea cheo chochote ndani ya CCM alibakia kuwa na heshima kama First Lady kwa Mkapa Mama Anna hakujihusisha, Mwinyi, Mama Siti hakujihusisha cha ajabu huyu wa sasa Kampeni yumo, uongozi kwenye chama yumo hapa nakuwa na mashaka kweli hii familia ina nini hasa inachokitafuta ndani ya CCM Kwa upande wa vijana tumeshuhudia vijana wengi katika tawala zilizopita hawakujihusisha sana na siasa kama walivyo vijana wa Mkuu wetu wa sasa nao pia tumewaona kwenye kampeni pia kwenye shughuli nyingi za chama nao hatujui wanachokitafuta humu CCM ni nini.
I can assure you it does not make any difference kwangu. Muendelee kupigana mitama wee mwisho wa siku mtaamua wenyewe which is which. Sifuatilii sana hizi siasa zenu za maji taka...
Utawala huu wa awamu ya nne una mambo mengi sana ambayo ni tofauti kabisa na tawala zilizopita Mwl. Nyerere mama Maria hajawahi kujiweka kimbelembele kugombea cheo chochote ndani ya CCM alibakia kuwa na heshima kama First Lady kwa Mkapa Mama Anna hakujihusisha, Mwinyi, Mama Siti hakujihusisha cha ajabu huyu wa sasa Kampeni yumo, uongozi kwenye chama yumo hapa nakuwa na mashaka kweli hii familia ina nini hasa inachokitafuta ndani ya CCM Kwa upande wa vijana tumeshuhudia vijana wengi katika tawala zilizopita hawakujihusisha sana na siasa kama walivyo vijana wa Mkuu wetu wa sasa nao pia tumewaona kwenye kampeni pia kwenye shughuli nyingi za chama nao hatujui wanachokitafuta humu CCM ni nini.
Ritz kazi yake ni kumpa moyo Lowassa ili kama alikuwa na plan B asiitumie kwa kipindi hiki
Unataka kuharibu tu thread hii. Najua una uwezo wa kuandika mazuri zaidi ya haya!
Ritz kazi yake ni kumpa moyo Lowassa ili kama alikuwa na plan B asiitumie kwa kipindi hiki
Inawezekana!?
Nilazima mojawapo ya kati ya izi ishike hatamu 1-CCM ASILI a-k-a masalia 2-CCM KAMPUNI 3-CCM BMW Mie napita tu nasubiri wachapane mikwaju.
Hayo nayo yako sisi hatuyajui, tumekubeza
anachoweza kufanya lowassa kwa leo labda kuwasogelea "ccm wapinga ufisadi" kambi ya sitta na kuwaonesha safu ya uongozi(slate) kama atapata urais huku akimuahidi sitta uwaziri mkuu na wenzake nyadhifa mbalimbali za juu.