Unataka kuharibu tu thread hii. Najua una uwezo wa kuandika mazuri zaidi ya haya!Waislam wenzangu wengi sana........kisha nashindwa kuconect Kuandaliwa kwa Lowassa....kisha naconnect na kutaka kujua idadi yetu kwenye sensa religiously!!!!!
Unataka kuharibu tu thread hii. Najua una uwezo wa kuandika mazuri zaidi ya haya!Waislam wenzangu wengi sana........kisha nashindwa kuconect Kuandaliwa kwa Lowassa....kisha naconnect na kutaka kujua idadi yetu kwenye sensa religiously!!!!!
Halafu unaambiwa ccm ina utaratibu mzuri,khaa!
Majina nimeishayaona anachofanya JK ni kumtengenezea njia swaiba wake Lowassa.
[SUB]Kuna kitu ntakuwa sikielewi lazima. Vita Kawawa na Adam Malima na wao wanaqualify kuitwa wazazi kwenye Jamii yetu??[/SUB]
Kikwete atakuwa Mwenyekiti, mkewe na mwanae wajumbe wa NEC na wamepita bila kupingwa, mdogo wake Mohamed Mrisho Kikwete anagombea uenyekiti wa CCM wa wilaya ya Bagamoyo!
JK anamtengenezea njia Lowasa kwa ajili ya wana CCM lakini sio kwa WatanzaniaMajina nimeishayaona anachofanya JK ni kumtengenezea njia swaiba wake Lowassa.
Lazima wakifanya CCM ikifanya sherehe iwe kama family partyHii kali sasa !
Le mutuuzi kapenya duuu!
Majina nimeishayaona anachofanya JK ni kumtengenezea njia swaiba wake Lowassa.