Hapana ndugu match ya leo ilikua nyepesi
Hnapokosa nafasi zaidi ya 5.
Then waenda kakutana na prison
Ambayo ni team yenye mpira wa nguvu na wakukaba na nafasi zinapatikana chache
Wadhani ataweza?
Hnapokosa nafasi zaidi ya 5.
Then waenda kakutana na prison
Ambayo ni team yenye mpira wa nguvu na wakukaba na nafasi zinapatikana chache
Wadhani ataweza?
Mkuu ulitaka afunge 10?