Mbona Simba queens wanacheza Azam complex na wanashinda, mbna timu ya madogo wanacheza hapo Azam complex na wanapata matokeo?

gekaboy

Member
Nov 27, 2021
49
103
Yani karbia asilmia 90% ya washabiki wa Simba wanasupport suala la timu Yao kwenda kuchezea amani Zanzibar kwa kigezo Cha wanapata shida ya kupata matokeo Azam complex.

Swali ninalo jiuliza mboona Simba queens wanacheza Azam complex na wanashinda, mbna timu ya madogo wanacheza hapo Azam complex na wanapata matokeo au huo uchawi ni WA Simba senior tu

Na je huo uwanja wa amani wanaushangilia wanahitaj kwenda ndio uwe home ground?, je wameshajiuliza , maana Zanzibar huko Simba kacheza fainali 11 na kashinda 4 tu kweny mapinduz na hata juzi tu kafungwa na timu dhaifu mlandege na hata game zake nyingi Simba imeshinda kwa shida mara goal moja mara matuta

Swali la kujiuliza shida ni uwanja au quality ya players? Mkipata jibu mtaacha huo uzuzu wa kulilia mbadilishiwe uwanja
 
Timu mbovu ata wakacheze juu ya mawingu Bado haitasaidia.
 
nipo kwenye asilimia hiyo 10 iliyobaki kwenye 90 nitoemo

japo ulichoandika kina ukweli asilimia kubwa, mashabiki wenzangu walio wengi ukikaa nao ukasikiliza stori zao dah unabaki mdomo wazi.

unakuta shabiki anaamini uchawi unafanya kazi kwenye football japo kwa hili hamna cha ni shabiki wa Simba ama Yanga


Mangungu na Try Again waondoke
 
Poyoyo mkubwa...utafiti umeufanyia wapi?
Halafu mbona vinawauma sana Simba kukataa kucheza hapo...wanga wakubwa..mnapungukiwa nini wao wakitaka kucheza sehemu nyingine..
 
Poyoyo mkubwa...utafiti umeufanyia wapi?
Halafu mbona vinawauma sana Simba kukataa kucheza hapo...wanga wakubwa..mnapungukiwa nini wao wakitaka kucheza sehemu nyingine..
Kwa kusema ukwel ndio mmeshanigeuza uto
 
nipo kwenye asilimia hiyo 10 iliyobaki kwenye 90 nitoemo

japo ulichoandika kina ukweli asilimia kubwa, mashabiki wenzangu walio wengi ukikaa nao ukasikiliza stori zao dah unabaki mdomo wazi.

unakuta shabiki anaamini uchawi unafanya kazi kwenye football japo kwa hili hamna cha ni shabiki wa Simba ama Yanga


Mangungu na Try Again waondoke
Viongoz wa timu kubwa mnaruhusu kabx, et kufungua Whatsapp channel ni mafanikio ya timu , et kibegi mafanikio hmn timu ya mpira inaanzishwa kuuza mchicha ni kubeba ubingwa kwhyo mafanikio ni ubigwa au kufikia stage fuln ya kufukuzia ubigwa yan mangungu na jarbu tena Amna viongoz palee
 
Poyoyo mkubwa...utafiti umeufanyia wapi?
Halafu mbona vinawauma sana Simba kukataa kucheza hapo...wanga wakubwa..mnapungukiwa nini wao wakitaka kucheza sehemu nyingine..
mshachumbiwa tayari, popote mtakapoweka makazi mnapigwa goli labda muhame na ligi kabisa
 
Hao mashabiki wenye huo mtazamo washinikize uongozi Wajenge uwanja wao sio kupiga blah blah zakizamani.
 
Back
Top Bottom