Leo arumeru imechangamka kupita kiasi, Wananchi wanoonekana wakiwa na nyuso za furaha na tayari wametupia uzi wao wa kijani na njano kuendelea kuipa support chama kubwa CCM. Katiaka mitaa yoye ya Usa river, Leganga hadi Tengeru ni kijani kitupu huwezi amini kama chadema leo watafanikiwa kukamilisha mikutano yao ya kampeni ktk maeneo hayo.
Wananchi wanajadiliana jinsi watakavyo imaliza chadema kesho na huku wakioneshwa kukoshwa na ujio wa Lowasa katika Jimbo la Arumeru east kama ukombozi wao; kwa kweli hali ni shwari kabisa katika barabaro yote ya Arusha- Moshi ikiwa imepambwa na rangi za kijani na njano du leo CCM kufunika mbaya mitaa ya Leganga, USA River na Leganga ingawa haitafanya mikutano katika maeneo yao but kunauwezakano wa ze next nevel...... kupita kusalimia wananchi katika gari lawazi baadae mchana wa leo stay tuned. Aidha kunadalili zinaonesha kuwa mida ya mchana mitaa ya usa river na leganga itakuwa tupu kabisa kwani maelfu ya watu watahudhuria mkutano wa CCM utakaofanyika King'ori
Mkutano wa funga kazi King'ori
Maandalizi ya mkutano mkubwa katika mji ambao Chadema wataambulia patupu yanaendelea kufanyika toka saa 12 Alfariji na tayari zaidi ya watu 10,000 wameshaanza kusogea katika eneo la tukio asubuhii. Mkutano huu utavunja rekodi ya mahudhurio na kuweka historia kwani utaahudhuria na maelfu ya watu.
Habari zote zitatupiwa hapa hapa na kikosi mabadiliko ndani ya Chama kiongozwa na comrade Mr emmy stay tuned CCM ni zaidi ya uijuavyo ni zaidi ya neno mkakati, ushindi lazima Arumeru East keshoooo.
Wananchi wanajadiliana jinsi watakavyo imaliza chadema kesho na huku wakioneshwa kukoshwa na ujio wa Lowasa katika Jimbo la Arumeru east kama ukombozi wao; kwa kweli hali ni shwari kabisa katika barabaro yote ya Arusha- Moshi ikiwa imepambwa na rangi za kijani na njano du leo CCM kufunika mbaya mitaa ya Leganga, USA River na Leganga ingawa haitafanya mikutano katika maeneo yao but kunauwezakano wa ze next nevel...... kupita kusalimia wananchi katika gari lawazi baadae mchana wa leo stay tuned. Aidha kunadalili zinaonesha kuwa mida ya mchana mitaa ya usa river na leganga itakuwa tupu kabisa kwani maelfu ya watu watahudhuria mkutano wa CCM utakaofanyika King'ori
Mkutano wa funga kazi King'ori
Maandalizi ya mkutano mkubwa katika mji ambao Chadema wataambulia patupu yanaendelea kufanyika toka saa 12 Alfariji na tayari zaidi ya watu 10,000 wameshaanza kusogea katika eneo la tukio asubuhii. Mkutano huu utavunja rekodi ya mahudhurio na kuweka historia kwani utaahudhuria na maelfu ya watu.
Habari zote zitatupiwa hapa hapa na kikosi mabadiliko ndani ya Chama kiongozwa na comrade Mr emmy stay tuned CCM ni zaidi ya uijuavyo ni zaidi ya neno mkakati, ushindi lazima Arumeru East keshoooo.