Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Hello guys,
Jamani michezo ya kombe la dunia ndo kufunguliwa leo, natamani sana kuishuhudia but nahisi ratiba yangu itanifanya nishindwe kushuhudia mechi nyingi sana.
Please kama kuna mtu anaweza kunisaidia ni jinsi gani naweza kufanya ili niweze kuiangalia online kupitia pc..
Pongezi na shukrani zimuendee mkali atakayefanikisha hii kitu aisee, nimefurukuta sana but nakiri kushindwa hadi sasa
Jamani michezo ya kombe la dunia ndo kufunguliwa leo, natamani sana kuishuhudia but nahisi ratiba yangu itanifanya nishindwe kushuhudia mechi nyingi sana.
Please kama kuna mtu anaweza kunisaidia ni jinsi gani naweza kufanya ili niweze kuiangalia online kupitia pc..
Pongezi na shukrani zimuendee mkali atakayefanikisha hii kitu aisee, nimefurukuta sana but nakiri kushindwa hadi sasa