Live Feeds: Kutoka mahakama Kuu ya Rufaa Kivukoni - Rufaa ya Lema, Dec 04, 2012

mod nisaidie hivi ni ruksa kurusha habari live kutoka mahakamani! sasa kwa nini ITV hawaruhusiwi kujiunga? au sisi tunavunja sheria... ? nisaidie maana na mimi nijue
 
Huyu mungu wako anawalaani wanaotukana wanawake tu, lkn wanaowabaka na kuwaua hawalaani, eti eeh? Abu Dawud 14:2678

Abu Dawud
38:4348


Hata mimi namshangaa sana huyo jamaa anayejiita mchukiauovu kwasababu tayari ameshachukua nafasi ya Mungu kutoa hukumu, eti hatakama Lema akishinda ataishi maisha ya hovyo hovyo tu kwa kuwa amemtukana mwanamke!!! Huyo Batil
ni mama yake? Mbona hasemi kuhusu hukumu inayowasubiri hao wachoma makanisa na wanaojilipua kwa kisingizio cha UFIA DINI? kweli akili yake ni boga kabisa.
 
Jamani Jf raha niko porini ni noma lakini nahisi nipo mahakamani!!!
Shukrani za dhati kwa mkuu Yericko Nyerere na makamanda wote!magamba leo lazima yakae!
 
Last edited by a moderator:
Wananchi wa Arusha wamepata hasara kubwa sana kumchagua huyu mtu. Kwa sasa naamini hawatakaa warudie tena kufanya kosa kama hili.


kosa gani walifanya? km sio magamba awataki A-town iongozwe na upinzani, we angalia hata swala la umeya...... wanamtumia mbunge viti maalun tanga anaingia ktk baraza la madiwani ili cdm isiongoze halmashauri ya Arusha
 

Mkuu Rejao
watu ni wabishi tu kukubali lakini ukweli ni kwamba Lema ni janga la kitaifa. Kuwa jasiri kusimama jukwaani na kukashifu,kuchochea maandamano haifanyi mtu kama Lema kuwa mtu makini wa kupewa dhamana ya uongozi. Tena kwenye nafasi muhimu kama "mbunge". Nlishaawambia na naendelea kuwaambia Lema hana sifa ya kushika nafasi nyeti katika jamii,hana uwezo wa kujenga hoja makini,hana elimu ya kutosha kufanya hivyo,na hana busara.

Kuungwa mkono na kundi la vijana wa sasa walioshiba ndoto za kulala maskini na kuamka tajiri,wasiotaka kufanya kazi zinazoendana na hadhi na maisha yao,wanaochagua kazi nyepesi na kudai maisha bora,wanaoendeshwa na siasa hasi,mabadiliko yasiyo na tija..kwangu sio credit za kumkubali Lema. Watu wamekuwa wajinga kiasi cha kujisadikisha kuwa umaskini ni sifa ya kujivunia. Utakuta mtu na kili zake anasema "tumchague ni maskini mwenzetu, ni mtoto wa mkulima mwenzetu,..". Badala ya kuangalia sifa na vigezo mnashambulia hadhi au asili! Na tabia hii wanayo sana vijana wa Arusha na kwingineko mijini.


Acheni kufanya kazi mkisubiria the so called "ukombozi",ambao hamtauona hadi mnakufa.
Nikweli kabisa hayo unayoyasema wanaojua kujenga hoja ni Lusinde na prof maji marefu
 
Vip mahakama imesimama mbona updates hamna, au hoja za mughwai hazina mashiko?
 
Sorry wanaJF network ilisumbua kidogo.Wakili Alute Muigwai anaiomba mahakama itupilie mbali kesi hii.
 
There are currently 1806 users browsing this thread. (427 members and 1379 guests)

Hii ni historia Afrika Mashariki.Lema ni Kiboko
 
Duh! Watu washakula ban kwa mihemuko.

Nini kinaendelea huko mahakamani? Ningependa kujua lini tarehe ya kutolea uamuzi.
 
Back
Top Bottom