1. MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
4. MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)
6. MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
7. MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera
Waziri wa Ulinzi
8. MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
9. MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
10. MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
11. MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
12. MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
13. MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga
Waziri wa Afya
14. MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida
Waziri wa Fedha na Mipango
15. MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi
Waziri wa Mambo ya Ndani
16. MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
17. MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora
Waziri wa Kilimo
18. Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita
Minister Of Minerals
19. MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
20. MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
21. MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga
Waziri wa Nishati
22. Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
23. MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma
Waziri wa Sheria na Katiba
24. MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
25. MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
26. MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga
Waziri wa Maji
27. MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
28. MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani
Waziri wa Maliasili na Utalii