Lita ya mafuta ya kula imefika Tsh elfu 10. Rais Samia ajulishwe na aingilie kati

Mwambieni mama yenu mheshimiwa rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa


Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje


Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhila na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Hata kama kuna tatizo jitahidi kueleza uhalisia wa tatizo bila kuongeza chumvi.

Unapochanganya tatizo lako na uongo andiko lako litaonekana porojo za kisiasa
 
JAMBO LA AJABU KULIKO YOTE NI KWAMBA NILIJARIBU KUNUNUA MAFUTA KENYA CHA AJABU NDOO MOJA IMEFIKIA 87500/- BAADA YA KUIBADILISHA FEDHA YAO NA KUWA YA KITANZANIA,SASA TATIZO SIJUI LIPO WAPI ?MAANA YAMEPANDA EAST AFRICA YOTE.
*BEI YA NYAMA NI 6500-7000 SASA WEWE SIJUI IPO COMORO AU WAPI MAANA COMORO BEI NI 10000-15000
Dar sehemu nyingi wanauza 9000 kwa sasa
 
Wanaomkosoa jamaa usikute hata dukani hawaendagi ni unafiki tuu....nipo bahi nimetoka nunua sasa ivi lita moja ya korie sh elfu sita.....alizeti sijauliza
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Hadi mteme ndoano
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Rais ndio anaepandisha bei ya mafuta? Eti Rais ajulishwe,haaaa
 
Mwambieni mama yenu mheshimiwa Rais kuwa lita moja ya mafuta ya kupikia ya Alizeti imefika elfu 10

Mwambieni nyama kilo ni hadi elfu 10 kwa sasa

Imagine mafuta ya alizeti lita imefika elfu 10 haya mafuta mengine ya mgando sijui makorie ndo lita 6000

Na hayo makorie wengine huwa hatugusi kabisa tuna allergy kali sana tukila tu tukilala tunaamka tukiwa hoi mijipu mwili nzima kama mtu ana tetekuwanga hadi wife nimemkataza asinunue hayo makorie maana navimbaga balaa

Nyama ndo haigusiki sasa sijui ambao hawatomudu nyama inakuaje au mwenye mzazi alojifungua anayehitaji nyama kila siku inakuaje

Kweli huu mfumuko ni balaa mafuta lita elfu 10 shikamoo Samia Suluhu Hassan unaupiga mwingi haswa tatizo letu wabongo ni wasahaulifu hadi 2025 watakua washasahau haya madhira na watakupa kura tena hii nchi ngumu doh
Kwani lazima utumie mafuta ya alizeti? Unaweza pika bila mafuta ukiwa na njaa utakula tuu
 
Acha kupotosha nmenunua jana lita3 kwa 28,000 elfu yapo kwenye dumu mafuta ya alizet singida
Lita 3 au 5 mkuu? Nimeuliza mtu hapa, singida fresh ni 28,000 per 5ltrs, wastani wa 5,600tsh kwa Lita.
 
JAMBO LA AJABU KULIKO YOTE NI KWAMBA NILIJARIBU KUNUNUA MAFUTA KENYA CHA AJABU NDOO MOJA IMEFIKIA 87500/- BAADA YA KUIBADILISHA FEDHA YAO NA KUWA YA KITANZANIA,SASA TATIZO SIJUI LIPO WAPI ?MAANA YAMEPANDA EAST AFRICA YOTE.
*BEI YA NYAMA NI 6500-7000 SASA WEWE SIJUI IPO COMORO AU WAPI MAANA COMORO BEI NI 10000-15000
Mnapenda nyama nyama tuuu vyakula unhealthy kwa nini msibadilike muwe mnakula mbogamboga na magimbi
 
Nakataa kabisa hapa tabora kilo ya nyama ni 6000 juzi nilikua Shinyanga bei ni hiyo hiyo, sasa we unaongea nini sijui
 
Back
Top Bottom