Lita 5 ya mafuta kupikia yafikia sh 37,000,/=

Ninyi watu wa serikali mlio kwenye nafasi za Kuregulate hizi Bei za kipuuzi ,mnafanya Nini huko maofisini

Pathetic
Aaaaratcfaajavafajkanagrtyjn

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kama ndivyo mamlaka za udhibiti kama LATRA au TCRA zimeundwa za nini?
Jamani hemu tuache kulalamika kwenye kila jambo,

Ni kweli kwasasa kuna inflation,kwenye baadhi ya idara kama ujenzi kunahitaji suluhu ya serikali,mfano kama tatizo ni kodi basi wapunguze kodi ama kama si kodi basi waruhusu bidhaa za nje ambozo kama bei ya bidhaa kutoka nje ni za chini vitaleta ushindani kwenye viwanda vya ndani,hakuna sababu yakulinda viwanda vya ndani wakati wananchi wanaumia.

Kwenye mafuta ya kula ni fursa kwetu,nenda shamba kalime alizeti,wakati wewe unalalamika wenzako wanapiga pesa,watanzania tuache ujinga,kilimo cha alizeti risk ni ndogo sio kama kulima mahindi,alizeti haina matatizo ya kuliwa na wadudu,alizeti haihitaji mvua nyingi hivyo inaendana na haya mabadiliko ya tabia nchi.

Huwezi mwambia raia kwamba kama unaona bei ya nondo ni kubwa jenga kiwanda chako,hapa utakuwa unamtusi kwani ujenzi wa kiwanda cha nondo hataweza na ndio sababu yakuitaka serikali itafute suluhu lakini kwenye mafuta ya kula ni ujinga kulalamika wakati ni fursa kwetu.

Wacha kulalamika nenda shamba kalime alizeti.
 
Jamani hemu tuache kulalamika kwenye kila jambo,
Ni kweli kwasasa kuna inflation,kwenye baadhi ya idara kama ujenzi kunahitaji suluhu ya serikali,mfano kama tatizo ni kodi basi wapunguze kodi ama kama si kodi basi waruhusu bidhaa za nje ambozo kama bei ya bidhaa kutoka nje ni za chini vitaleta ushindani kwenye viwanda vya ndani,hakuna sababu yakulinda viwanda vya ndani wakati wananchi wanaumia.

Kwenye mafuta ya kula ni fursa kwetu,nenda shamba kalime alizeti,wakati wewe unalalamika wenzako wanapiga pesa,watanzania tuache ujinga,kilimo cha alizeti risk ni ndogo sio kama kulima mahindi,alizeti haina matatizo ya kuliwa na wadudu,alizeti haihitaji mvua nyingi hivyo inaendana na haya mabadiliko ya tabia nchi.

Huwezi mwambia raia kwamba kama unaona bei ya nondo ni kubwa jenga kiwanda chako,hapa utakuwa unamtusi kwani ujenzi wa kiwanda cha nondo hataweza na ndio sababu yakuitaka serikali itafute suluhu lakini kwenye mafuta ya kula ni ujinga kulalamika wakati ni fursa kwetu.

Wacha kulalamika nenda shamba kalime alizeti.
Motivational speakers bana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom