muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Ni wakati wa kupitisha vifungu vya wizara ya hawa ghasia . ambopo Mbunge Lisu akuridhika na majibu mepesi ya waziri Chikawe aliyekuwa anamjibu lisu kwenye issue ya Rada na takukuru kwa niaba ya waziri Hawa ghasia. waziri chikawe amomba watu wapuuze ripoti za mitandao kama wikileaks.
Akasoma barua iliyotoka kwa wachunguzi wa uingereza inayoonyesha pesa iliyoingizwa kwenye acount toka kwa middle man wa dili la rada. na pia chenge aliamisha kiasi chaq fedha sikuweza kuzisikia kwa ikaribu kwenda kwa mtumishi wa BOT kwa kipindi kile kile.
Majibu ya Chikawe ni kwamba Lisu awakilishe ushaidi wake kama anao na wao watauchukuliwa maamuzi ya kumpeleka Chenge mahakani { kwa kebehi}
Lisu amwambia barua hiyo iliperekwa kwa Attorney general wa serikali na aliyonoyo yeye ni copy tu. kwa hiyo anachosema waziri ni kudanganya watz. akashikilia shillingi.
Kura za mama kiroboto kama kawaida zikapitisha kifungu
Akasoma barua iliyotoka kwa wachunguzi wa uingereza inayoonyesha pesa iliyoingizwa kwenye acount toka kwa middle man wa dili la rada. na pia chenge aliamisha kiasi chaq fedha sikuweza kuzisikia kwa ikaribu kwenda kwa mtumishi wa BOT kwa kipindi kile kile.
Majibu ya Chikawe ni kwamba Lisu awakilishe ushaidi wake kama anao na wao watauchukuliwa maamuzi ya kumpeleka Chenge mahakani { kwa kebehi}
Lisu amwambia barua hiyo iliperekwa kwa Attorney general wa serikali na aliyonoyo yeye ni copy tu. kwa hiyo anachosema waziri ni kudanganya watz. akashikilia shillingi.
Kura za mama kiroboto kama kawaida zikapitisha kifungu