Lisu atoa shilingi mshahara wa Hawa ghasia

muonamambo

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
875
545
Ni wakati wa kupitisha vifungu vya wizara ya hawa ghasia . ambopo Mbunge Lisu akuridhika na majibu mepesi ya waziri Chikawe aliyekuwa anamjibu lisu kwenye issue ya Rada na takukuru kwa niaba ya waziri Hawa ghasia. waziri chikawe amomba watu wapuuze ripoti za mitandao kama wikileaks.

Akasoma barua iliyotoka kwa wachunguzi wa uingereza inayoonyesha pesa iliyoingizwa kwenye acount toka kwa middle man wa dili la rada. na pia chenge aliamisha kiasi chaq fedha sikuweza kuzisikia kwa ikaribu kwenda kwa mtumishi wa BOT kwa kipindi kile kile.

Majibu ya Chikawe ni kwamba Lisu awakilishe ushaidi wake kama anao na wao watauchukuliwa maamuzi ya kumpeleka Chenge mahakani { kwa kebehi}
Lisu amwambia barua hiyo iliperekwa kwa Attorney general wa serikali na aliyonoyo yeye ni copy tu. kwa hiyo anachosema waziri ni kudanganya watz. akashikilia shillingi.

Kura za mama kiroboto kama kawaida zikapitisha kifungu
 
Hapa serikali haiwezi kujidai kuwa inashughulikia corruption. Hilo wasau na naweza kusema wamezidisha mtaji wa CHADEMA huku mtaani.
 
Ni wakati wa kupitisha vifungu vya wizara ya hawa ghasia . ambopo Mbunge Lisu akuridhika na majibu mepesi ya waziri Chikawe aliyekuwa anamjibu lisu kwenye issue ya Rada na takukuru kwa niaba ya waziri Hawa ghasia. waziri chikawe amomba watu wapuuze ripoti za mitandao kama wikileaks.

Akasoma barua iliyotoka kwa wachunguzi wa uingereza inayoonyesha pesa iliyoingizwa kwenye acount toka kwa middle man wa dili la rada. na pia chenge aliamisha kiasi chaq fedha sikuweza kuzisikia kwa ikaribu kwenda kwa mtumishi wa BOT kwa kipindi kile kile.

Majibu ya Chikawe ni kwamba Lisu awakilishe ushaidi wake kama anao na wao watauchukuliwa maamuzi ya kumpeleka Chenge mahakani { kwa kebehi}
Lisu amwambia barua hiyo iliperekwa kwa Attorney general wa serikali na aliyonoyo yeye ni copy tu. kwa hiyo anachosema waziri ni kudanganya watz. akashikilia shillingi.

Kura za mama kiroboto kama kawaida zikapitisha kifungu

Wakimaliza bunge wazibebe hoja zote zilizopotezwa na wabunge wa ccm huko mjengoni wazilete kwa wananchi

Watashika adabu tu kama list of shame ilivyoanzia pale mwembe yanga, wasiwe na shaka yoyote wananchi wanawaona wabunge wao wa ccm wananvyosinzia na kuishia kupiga meza tu.
 
Back
Top Bottom