a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,966
- 2,200
NGUVU HIYO KUBWA YA KIROHO ILIYO NYUMA YAKE NDIYO INAYOMSUKUMA.
1)Kupenda kusimamia HAKI na UKWELI ,kiu ya kuona utawala wa HAKI na USAWA kwa misingi ya sheria na katiba.
2)Kupenda kuona masikini na wanyonge wanasaidiwa kupata HAKI zao,nimepata shuhuda za watu aliowasaidia msaada wa kisheria kupata HAKI zao BURE kwa kujitolea buree.
3)Kuchukia dhuluma na ufisadi
4)ROHO YA UJASIRI...hana hofu wala uoga
5)Roho ya kuridhika na kukataa kununuliwa,kutafuta manufaa yake mwenyewe badala yake ana HATARISHA MAISHA YAKE kwa ajili ya wengine..
HII KITU sio NGUVU YA BINADAMU ni NGUVU YA ROHO inayomsukuma kutenda hayo MATENDO MEMA MATAKATIFU.
Hiyo nguvu iliyonyuma yake ni NGUVU YA ROHO MTAKATIFU ,Roho wa Mungu.
LISU anaweza akawa nabii wa Mungu mbeba maono ,ama mtumishi wa Mungu anayetumiwa na Mungu kufanya kusudi la Mungu .
Kama mbeba kusudi fulani la ki Mungu au mpango fulani wa Mungu juu ya watu wengi ama Taifa.
NA mtu ambaye NGUVU YA MUNGU IPO NYUMA YAKE...HUWA HAFI ..MPAKA LILE KUSUDI HATMA AMBALO MUNGU AMEWEKA NDANI YAKE LITIMIE.
LISU hatakufa kama Mungu aishivyo mpaka atimize kusudi la Mungu aliloliweka ndani yake.
ALIPIGWA marisasi mengi sana ,ni muujiza leo yupo hai..waliotaka kumuangamiza na WANAOTAKA kumdhuru LISU kwa namna yeyote huo UBAYA UTAWARUDIA wao wwnyewe.
LISU NI MTU WA MUNGU..no zaidi hata baadhi ya wanaojiita manabii na mitume ,masheikh na wachungaji na maaskofu na mapadri..ambao hawapo front line katika ku practice what they preach...LISU ANAFANYA MATENDO MATAKATIFU KWA VITENDO na sio kwa nguvu zake mwenyewe..kwa nguvu ya Roho inayotenda kazi iliyo ndani yake.
.WANAOFIKIRIA kumdhuru LISU FIRST they have to pass through GOD HIMSELF ..(through army of angles)
1)Kupenda kusimamia HAKI na UKWELI ,kiu ya kuona utawala wa HAKI na USAWA kwa misingi ya sheria na katiba.
2)Kupenda kuona masikini na wanyonge wanasaidiwa kupata HAKI zao,nimepata shuhuda za watu aliowasaidia msaada wa kisheria kupata HAKI zao BURE kwa kujitolea buree.
3)Kuchukia dhuluma na ufisadi
4)ROHO YA UJASIRI...hana hofu wala uoga
5)Roho ya kuridhika na kukataa kununuliwa,kutafuta manufaa yake mwenyewe badala yake ana HATARISHA MAISHA YAKE kwa ajili ya wengine..
HII KITU sio NGUVU YA BINADAMU ni NGUVU YA ROHO inayomsukuma kutenda hayo MATENDO MEMA MATAKATIFU.
Hiyo nguvu iliyonyuma yake ni NGUVU YA ROHO MTAKATIFU ,Roho wa Mungu.
LISU anaweza akawa nabii wa Mungu mbeba maono ,ama mtumishi wa Mungu anayetumiwa na Mungu kufanya kusudi la Mungu .
Kama mbeba kusudi fulani la ki Mungu au mpango fulani wa Mungu juu ya watu wengi ama Taifa.
NA mtu ambaye NGUVU YA MUNGU IPO NYUMA YAKE...HUWA HAFI ..MPAKA LILE KUSUDI HATMA AMBALO MUNGU AMEWEKA NDANI YAKE LITIMIE.
LISU hatakufa kama Mungu aishivyo mpaka atimize kusudi la Mungu aliloliweka ndani yake.
ALIPIGWA marisasi mengi sana ,ni muujiza leo yupo hai..waliotaka kumuangamiza na WANAOTAKA kumdhuru LISU kwa namna yeyote huo UBAYA UTAWARUDIA wao wwnyewe.
LISU NI MTU WA MUNGU..no zaidi hata baadhi ya wanaojiita manabii na mitume ,masheikh na wachungaji na maaskofu na mapadri..ambao hawapo front line katika ku practice what they preach...LISU ANAFANYA MATENDO MATAKATIFU KWA VITENDO na sio kwa nguvu zake mwenyewe..kwa nguvu ya Roho inayotenda kazi iliyo ndani yake.
.WANAOFIKIRIA kumdhuru LISU FIRST they have to pass through GOD HIMSELF ..(through army of angles)