List ya wanawake kumi ambao lazima nioe mmoja wao

Sasa hiyo list wengine ni wake zawatu hapo hapo ina majike dume halafu inawatu wana allergy na rangi nyeusi, yaani hawachukuliwi ila na wazungu sasa itakuwaje....

Ushauri wangu, naona itakuwa aumefanya vizuri ukimchukua Wema labda huyu dada atapumzika na kupigwa mipira na wanaume wa kibongo.
 
Mkuu mi nakuongezea

11 bi kiroboto a.k.a maposho anatambulika sana kama ana makinda maiki wa bunge la jamuhuri ya muungano wa wadanganyika.

Mkuu huyu usimwache ni mreaji mzuri sana huyu atakulea ,kutunza kama afanyavyo kwa mafisadi wenzake.

Utatuokoa sana na pia utakuwa umeliokoa taifa letu.
 
Sasa hiyo list wengine ni wake zawatu hapo hapo ina majike dume halafu inawatu wana allergy na rangi nyeusi, yaani hawachukuliwi ila na wazungu sasa itakuwaje....

Ushauri wangu, naona itakuwa aumefanya vizuri ukimchukua Wema labda huyu dada atapumzika na kupigwa mipira na wanaume wa kibongo.
Kumbe anapigwa mipira mimi nilifikiri anapigwa NYAMA
 
Mkuu mi nakuongezea

11 bi kiroboto a.k.a maposho anatambulika sana kama ana makinda maiki wa bunge la jamuhuri ya muungano wa wadanganyika.

Mkuu huyu usimwache ni mreaji mzuri sana huyu atakulea ,kutunza kama afanyavyo kwa mafisadi wenzake.

Utatuokoa sana na pia utakuwa umeliokoa taifa letu.
Katika sifa ya mke ninayemtaka awe MREMBO
 
1. Wema sepetu
2. Linah
3. Dj fetty
4. Kiki
5.mwamvita makamba
6. Salama jabir
7.dina marios
8.c.e.o wa 8020 blog
9 c.e.o wa bang magazine
10.mboni masimba

Naruhusu kuchaguliwa mchumba na member wa jf iwapo member hawataridhishwa na list yangu vile vile kamaa kuna mtu umemridhia katika hii list waweza mtaja na kumpendekeza vile vile kama kuna member wa jf ungependa nimuoe waweza pendekeza ila asiwe FAIZA FOX TU LOL
Naomba utoe wasifu wako hapa jamvini ili tutoe perfect match.Kwani hawa akina dada uliowalist hapa wana tabia zinazotofautiana mno,mfano Salama na Mwamvita Makamba ni watu wawili tofauti wanaoishi kwenye dunia tofauti

 
Naomba utoe wasifu wako hapa jamvini ili tutoe perfect match.Kwani hawa akina dada uliowalist hapa wana tabia zinazotofautiana mno,mfano Salama na Mwamvita Makamba ni watu wawili tofauti wanaoishi kwenye dunia tofauti


utofauti wao ni upi?
 
1. Wema sepetu
2. Linah
3. Dj fetty
4. Kiki
5.mwamvita makamba
6. Salama jabir
7.dina marios
8.c.e.o wa 8020 blog
9 c.e.o wa bang magazine
10.mboni masimba

Naruhusu kuchaguliwa mchumba na member wa jf iwapo member hawataridhishwa na list yangu vile vile kamaa kuna mtu umemridhia katika hii list waweza mtaja na kumpendekeza vile vile kama kuna member wa jf ungependa nimuoe waweza pendekeza ila asiwe FAIZA FOX TU LOL
.
Nakuchagulia Bi Kidude!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom