yaani anapata ubunge uwaziri moja kwa moja na kuacha alama kwenye wizara au sector yakeUnavyo sema kufanikiwa, unamaanisha nini?? 🤔 🤔
anayeingia kwenye kugombea kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 50 plus na kupanda vyeo na kuacha alama kwenye jamiiiKufanikiwa Ina maana pana sana bwashee