List ya waliotabiriwa kifo 2017: Malkia na Mugabe wapo

huyu alokua anatabiri hii kitu anaweza kuanza kudondoka yeye 2017 kabla yeyote kwenye hio list. nobody knows the time of death except for the almighty. huyu anaangalia wenye umri mkubwa sana ( 90+ years ) then anajua probabalities zitam-support.
Vipi na wewe ndio unatabiri pia je utaondoka?
 
mie sijatabiri, I was just try to explain my point that nobody in this world knows the death day,month or year of anybody.
Vip kuhusu hao walio tabiri mwaka 2016 wakafa?

I can know ur date of death nikija kukuua na tarehe nishapanga nitakuwa sijajua au.!!??
 
Hawa wasituzingue!! Nani atakae shindwa huo ujinga wao. Mtu anamiaka 80 na zaid kwakuangalia tu nguvu zimeshamuishia na mauti haiko mbali. Km wao niwatabiri watutabirie watakaokufa wenye chini ya umri wa miaka 50. Kwani na wao si wanakufa ? Hv hata wewe angalia pale mtaani kwako huoni kuna mtu anaweza kufa kutokana na umri wake kusonga? Unaona
 
Hawa wasituzingue!! Nani atakae shindwa huo ujinga wao. Mtu anamiaka 80 na zaid kwakuangalia tu nguvu zimeshamuishia na mauti haiko mbali. Km wao niwatabiri watutabirie watakaokufa wenye chini ya umri wa miaka 50. Kwani na wao si wanakufa ? Hv hata wewe angalia pale mtaani kwako huoni kuna mtu anaweza kufa kutokana na umri wake kusonga? Unaona
wasanii
 
mleta mada watabili wanafuata karenda ya jurias, karenda ya jurias mwaka unanza mwezi wa 3 kama sikosei, kwahiyo mwaka 2016 bado haujaisha kwa elimu ya unajimu.mimi nawaitaga illuminati.hii karenda ya sasa Gregorian haitumiki na watabili. hata vitabu vya kiimani yaan biblia na msahafu utaona wanatumia karenda ya jurias.
Exactly..
 
Vip kuhusu hao walio tabiri mwaka 2016 wakafa?

I can know ur date of death nikija kukuua na tarehe nishapanga nitakuwa sijajua au.!!??
in my religion (Islam) tunaamini kuwa nothing happens to a person unless Allah has decreed that thing to happen on him. in other words even when the entire world population wanted to kill me, but the Almighty hasnt decreed for me to be killed (or die) on that day, then not a single soul can take me down.
 
rockerfella ana badilisha moyo kila baada ya mda flan mwaka jana august alipewa moyo wke mpya wa 7
 
rockerfella ana badilisha moyo kila baada ya mda flan mwaka jana august alipewa moyo wke mpya wa 7
Huyo Jamaa fwedha inaongea... Tajiri Mno anaweza kuwaajiri kina bill gates Dangote n.k kwa ujumla wao jitu lina miliki ma saterite angani Trillionea labda likose bidhaa lakini kama zipo pwedha itaongea tu
 
Huyo Jamaa fwedha inaongea... Tajiri Mno anaweza kuwaajiri kina bill gates Dangote n.k kwa ujumla wao jitu lina miliki ma saterite angani Trillionea labda likose bidhaa lakini kama zipo pwedha itaongea tu
embu niwekee [picha yake hapa.
 
embu niwekee [picha yake hapa.
Mkuu Tajiri Mwenyewe alishandei ila Utajili upo kwa Familia so picha yeyote ya member wa Familia ukitaka wao Utajili wao unaendeshwa just like nchi zinavyojiendesha wana miliki karibu kila kitu japo yasemekana ni mali za Mayor Rothschild alipowekeza kwenye Oil akampa kazi J.D Rockefeller so mautajili hayo yanatisha... Jamaa ni matajiri haswa haswa Duniani
 
Mbona kwenye forbes list sijawaona? au hakuna kichwa kichofikia mkwanja wa bill gates? na huyo aliebadilisha moyo mar saba ni nani?
 
Mbona kwenye forbes list sijawaona? au hakuna kichwa kichofikia mkwanja wa bill gates? na huyo aliebadilisha moyo mar saba ni nani?
Hao wa Forbes ni mmoja mmoja Hizo Family ni Matrillionea na ubilionea walishavuka karne ya 18 wao wapo pia kwenye Forbes kama zile Twin Tower za Marekani zilizobomolewa zilikuwa ni za Rothschild family
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom