Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Mkuu naona huzifahamu siasa za nchi hii! Watu wanaposema Chama kwanza umaarufu wa mtu baadaye wanakuwa na maana yao. Nakuambia ukiwa ndani ya chama ndio unapata nguvu ukitoka unabaki kuwa kama Samson.
Unaweza ukatoka ukadhani una watu wanakuunga mkono kumbe ghafla wakakutosa. Nina kumbukumbu za Mpendazoe!