List ya biashara zenye mtaji mdogo

List ya biashara zenye mtaji mdogo

Naja naja

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
747
Reaction score
1,462
Hizi hapa listi ya biashara zenye mtaji mdogo:

1) Kuuza matunda.

2) Kuuza juice mashuleni haswa kwa shule za msingi na sekondari.

Hapa ukifanikiwa kupata jokofu imara basi umeshamaliza kila kitu.

Biashara ya kuuza juisi mashuleni inalipa sana, huwezi kukosa elfu 7-15 kwa siku.

3) Chapisha vitini vya tenses, methali, vitendawili, nahau na misemo mbalimbali, pia unaweza ukachapisha vitini vyenye formulas za hesabu, peleka shule za msingi.

4) Uza vitu vidogo vidogo mfano Cripsi za ndizi, mihogo, viazi nk, weka karanga za mayai, chapati za maji/mayai, uza vikachori, kababu nk.

5) Shoe shine

6) Uza vifaa vya electronics vidogo vidogo, hapa unatembeza mtaani.

7) Tafuta angalau laki 3 - 5 nenda VETA ukasomee taaluma yoyote ya ufundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli mkuu,atleast kamtaji kadogo unafungua kibanda ch acd humo unauza earfone,charger,usb,flash,memory card angalau kwa siku unalala na hela ya kutosha
 
Njaa ikishakuwa kali msoto wa kitaa

Ukitembea barabarani unaanza kutamani mafundi sofa,fundi simu, computer, wachonga vioo

Yaani bora elimu ya ufundi inaweza kukomboa mtu kwenye shida

Lakini sio yale sijui ma integration na differentiation hayasaidii kwenye njaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu
 
Hizi hapa listi ya biashara zenye mtaji mdogo:

1) Kuuza matunda.

2) Kuuza juice mashuleni haswa kwa shule za msingi na sekondari.

Hapa ukifanikiwa kupata jokofu imara basi umeshamaliza kila kitu.

Biashara ya kuuza juisi mashuleni inalipa sana, huwezi kukosa elfu 7-15 kwa siku.

3) Chapisha vitini vya tenses, methali, vitendawili, nahau na misemo mbalimbali, pia unaweza ukachapisha vitini vyenye formulas za hesabu, peleka shule za msingi.

4) Uza vitu vidogo vidogo mfano Cripsi za ndizi, mihogo, viazi nk, weka karanga za mayai, chapati za maji/mayai, uza vikachori, kababu nk.

5) Shoe shine

6) Uza vifaa vya electronics vidogo vidogo, hapa unatembeza mtaani.

7) Tafuta angalau laki 3 - 5 nenda VETA ukasomee taaluma yoyote ya ufundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss... napata sana shida mtu akisema mtaji mdogo... ebu niweke sawa, mtaji mdogo ni kuanzia sh ngapi hadi ngapi!??

Mi naona ni bora pia kuweka na suggestions za pesa ya kuanzia.

Maana mtaji mdogo kwako, kwangu ni mkubwa mnoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana wadada wanaamua kuendeleza libeneke!
Unagewa nyapu kwa bei chee.
 
Hizi hapa listi ya biashara zenye mtaji mdogo:

1) Kuuza matunda.

2) Kuuza juice mashuleni haswa kwa shule za msingi na sekondari.

Hapa ukifanikiwa kupata jokofu imara basi umeshamaliza kila kitu.

Biashara ya kuuza juisi mashuleni inalipa sana, huwezi kukosa elfu 7-15 kwa siku.

3) Chapisha vitini vya tenses, methali, vitendawili, nahau na misemo mbalimbali, pia unaweza ukachapisha vitini vyenye formulas za hesabu, peleka shule za msingi.

4) Uza vitu vidogo vidogo mfano Cripsi za ndizi, mihogo, viazi nk, weka karanga za mayai, chapati za maji/mayai, uza vikachori, kababu nk.

5) Shoe shine

6) Uza vifaa vya electronics vidogo vidogo, hapa unatembeza mtaani.

7) Tafuta angalau laki 3 - 5 nenda VETA ukasomee taaluma yoyote ya ufundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo namba 7 ndio muhumu sana kwasie vijana kujiendeleza kiufundi,Wenzetu wachina wameamua vyuo vyao vingi kuvigeuza vyuo vya ufundi ili vijana wengi waweze kujiajiri wenyewe,hebu fikiria mtu anaenda chuo kikuu anasomea sijui sociologia,iyo kozi kiukweli kabisa awezi kujiajiri matokeo yake anasubiria ajira za kuajiriwa,ni heri mtu ukaenda veta ukasomea ushonaji ukawa designer wa nguo,ufundi magari ama udereva izo kozi na nyingine nyingi mtu atajiajiri mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom