List: Wanaotaka lockdown, tusijilinganishe nao

Amepunguza case lakini bado zipo tena kuliko sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawapinzani wa hovyo taifa hili sijawahi kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa wa kitanzania hawana msaada wanajari matumbo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawapinzani wa hovyosana sisi kupenda kuiga mabaya
Pengine utawasifia wakenya wanaozuia watu kwenda nairobi na mombasa ambayo utasema sio total lockdown, lakini wagonjwa wanaongezekana vifo vinaongezeka sasa faida yake ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuanzia embutuwekee hapa ushahidi wa Mbowe kutaka lockdown na ushahidi kuwa ni bilionea mbali nahapo tutajadili umbea kama wamama wa uswahilini...
Ni upumbavu kushabikia jambo usilo na uhakika nalo mbele ya halaiki ya wasomi huku jf!
Sijui unaishi nchi gani hadi unauliza ujinga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We'll said kuvumilia lockdown bila kufanya kazi hakuna anayeweza
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 1919 kulikuwa na lockdown kwenye spanish flu na hao wahenga wetu waliweza kulockdown sasa miaka zaidi mia mnasema humuwezi kulockdown kwanini? Inamaana nyie ni wajinga sana kuliko mababu wetu walioishi miaka mia moja iliyopita? Tunafundishwa kwamba lockdown yao ilifanywa hivi MAKULI wote walipiga kambi ukouko kazini na usafiri wa kwenda mikoani ulifungwa, ni mizigo tu ya mazao ya vyakula na biashara ndo ilikubaliwa kusafirishwa.
 
Uliosema yana ukweli...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaliotoka bungeni kuna bar?
 
Kipindi hicho Spain ilikuwa inatawala makoloni kibao ratin America wewe na tanzania yako mnakoloni ganj liwaletee kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono maoni yako. Lockdown, hapana. Lakini watu wakitoka nje wafuate maelekezo yatolewayo na wataalamu wa afya. Kusiwe na msongamano wa watu; watu wavae barakoa; wanawe mikono mara kwa mara; kuingia ofisini au supermarket mtu apimwe joto; n.k. Kwenye ibaada kusiwe kama ilivyoonekana Ijumaa kwenye msikiti wa Kariakoo. Sokoni pia kuwe na utaratibu wa kutosongamana. Kama tahadhari hizi zikifuatwa, bila shaka tutashinda.
 

Lengo la lockdown ni kucontain maambukizi baina ya watu..

Mkuu umewah jiuliza kwan nini China haikuishia kulock Wuhan kama mji ila ikaenda mbali zaidi kulock watu majumbani na kuzuia shughul za kibiashara..?

Kuwa na lockdown katika level ya mji lakn haiaddress lengo mama la lockdown ambalo ni kudhibiti maambukizi baina ya watu its nonsense..

Hizi lockdown za kulock miji kwa lengo la kuwatoa muhanga watu walio ndani ya mji husika kwa mtizamo wako unadhan ni fair na serikali ndio itahesabika imelinda watu wake.? Yah kufunga mji halafu unaruhusu watu waishi kawaida ni sawa na kuwatoa watu muhanga..!

Je, kama taifa can we afford gharama ya lockdown inayo address lengo mama la lockdown la kudhibiti watu wasiambukizane kama China.?

Achilia mbali sabb za kiuchumi.
 
Kila jambo linatumika kama mtaji wa kiasiasa ndio shida.
Ili mradi tu mtu apate cha kukosoa na kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…