List of the Top beggars in the World

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,524
863
Maskini nchi yangu. tuliambiwa ili tuendelee tunahitaji v2 vinnee,
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4. uongozi bora
kuanzia uhur tumekuwa tukipata misaaada kuanzia usd 39.19 (TSH 66bill) na imekua ikiongezeka ktk miaka ya hivi karibuni kufikia usd 2.89 bill(tsh 3 trillion) leo hii sisi ni Nchi ya kwanza ktk Afrika kwa kusaidiwa, na ni Nchi ya tatu Dunia, nyuma ya Nchi za Iraq na Afghanistan, Nchi ambazo tunajua zimefikia hapo kwa njama za kimakusudi za Mataifa hayo ya Ulaya kuwatumbukiza ktk vita.

Je, Watanzania wenzangu hivi tunashereherekea miaka 50 ya uhuru kwa hali gani........?

Ni nini hakipo ktk hivyo vitu vinne.....?

NCHIMSAADA KATIKA
BILIONI ZA DOLA
1. IRAQ9.115
2. AFGHANISTAN3.951
3. TANZANIA2.811
4. VIETNAM2.497
5. ETHIOPIA2.422
6. PAKISTAN2.212
7. SUDAN2.104
8. NIGERIA2.042
9. CANEROON1.933
10. PALESTINE1.868
11. MOZAMBIQUE1.777
12. UGANDA1.728
13. BANGLADESH1.502
14. CHINA1.439
15. INDIA1.298
16. KENYA1.275
17. JAMHURI YA KONGO1.217
18. GHANA1.151
19. MOROKO1.090
20. MISRI1.083
 
Habari zenu Wana JF.

Naombeni msaada kwa yeyote ambaye anajua link, or any other source where I can find a list of countries that leads in begging in the world ambamo Tanzania ni mmoja wao. Kuna ubishi hapa, kuna mtu kasema hivyo.
 
Inasemekana Tanzania ni Beggars namba 1. Ila Cameron amemwahidi Jk kwamba Watanzania wakibali kutoa tiGO tunaweza kupanda kwenye chart.
 
Inasemekana Tanzania ni Beggars namba 1. Ila Cameron amemwahidi Jk kwamba Watanzania wakibali kutoa tiGO tunaweza kupanda kwenye chart.

Source pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz..., hizo tigo wataliwa wanaotaka kula.:lol:
 
Mashoga wanaushadadia mpango huo. Ila Tanzania itakuwa kwenye tano bora za beggars in the world.
 
Nnavyo jua mimi nusumutu apart from afganstan and reconstruction of iraq inafuatia united republic of beggars!
 
Guys nipeni basi hizo sosi maana naona mnakazania tigo tuuuuu, wats happening huko? Sosi piliiiiiiiiz
 
OECD huwa wanatoa takwimu hizo, below is a link ya kukupa picha tu as of 2008, lakini leo hii, listi hiyo haijabadilika sana. Lakini ifahamike kwamba kuna aina nyingi za misaada, kuna aian nyingine Tanzania ipo juu zaidi, lakini hii link inatoa tu an overall picture:

http://www.oecd-ilibrary.org/docser...ent&checksum=32BD267B7216B39CB48A10119F382380

In the 1970s, Tanzania ilikuwa namba mbili duniani, only second to Israel, kwa muda mrefu sana. Kipindi chote cha Ujamaa kilikuwa funded na AID, heavily.
 
1. Afghastan,
2. Somalia,
3. Tanzania under Dr. Dr. Dr. (UDSM, UDOM) His excellency Rt. Millitary Officer Jakaya Mrisho Kikwete,
4.
 
Kuwa no.1 beggar kutatusaidia kuingia kwenye guiness world record.!! Nayo ni sifa.
 
Nchi 20 zinazoongoza duniani kupokea misaada ya kimaendeleo ni Iraq (Dola Bilioni 9.115) ikifuatiwa na Afghanistan (dola bilioni 3.951. Nchi ya Tanzania ni ya tatu kwa kupokea dola takribani bilioni 2.811 kwa mwaka

NCHI
MSAADA KATIKA
BILIONI ZA DOLA
1. IRAQ
9.115
2. AFGHANISTAN
3.951
3. TANZANIA
2.811
4. VIETNAM2.497
5. ETHIOPIA
2.422
6. PAKISTAN
2.212
7. SUDAN
2.104
8. NIGERIA
2.042
9. CANEROON1.933
10. PALESTINE
1.868
11. MOZAMBIQUE
1.777
12. UGANDA
1.728
13. BANGLADESH
1.502
14. CHINA
1.439
15. INDIA
1.298
16. KENYA
1.275
17. JAMHURI YA KONGO
1.217
18. GHANA
1.151
19. MOROKO
1.090
20. MISRI
1.083



 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwa kipimo hiki viongozi wetu wana haki ya kutembea kifua mbele hasa kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa wafadhili!!! HONGERENI SANA!! nafikiri Nasari anfuata nyayo kwa kupitia NGO YAKE YA the future of MERU kwa kuomba misaada.
 
me nilijua tuu ile nchi inayoongozwa na ****** wa magogoni haiwez kosa ndan ya top 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom