Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,921
- 122,189
Na yule ambaye alikuwa anaitikia ndiooooo wakati wa kupitisha mikataba fake ya madini halafu sasa anaanza kuuliza nani alituloga, unadhani kichwa chake kiko sahihi?Lisu sio mzalendo,,ni muongo sana.alitudanganya miaka 8 kwamba Lowasa ni mwizi halafu baadae akayarudia matapishi yake.huyu Lisu ni mchungaji anayetawanya kondooo