mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,304
- 6,509
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
magu msanii tu anataka utukufu wa kisiasa. mfano juzi anapokea ripoti ya bunge kabla ya kujadiliwa na wabunge ili kuficha au kuwakingia kifua watu wake.Nimekaa na kutafari bila majibu hii vita ya nini?
Katika nchi changa kama Tanzania tunatunishiana misuli kwa jambo ambalo ni la kujenga nchi
Nisahii Kujiona muhimu kuliko mwenzio kwa sasa kama wote mnalengo moja
LISU anapigania nn na MAGU anataka nn?
Mkuu wa nchi ni kweli hajui Lisu anataka nn? Kwa nchi yake nina maswali mengi wadau mnisaidie hoja hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichopo hapo ni chuki za kijinga tu lakin ukitizama kwa muktadha mzuri kabisa ni kwamba anacho kipigamia mkuu na anacho kipigamia Lissu ni kile kile isipo kuwa tofauti yao ni namna ya uwasilishwaji kwambaNimekaa na kutafari bila majibu hii vita ya nini?
Katika nchi changa kama Tanzania tunatunishiana misuli kwa jambo ambalo ni la kujenga nchi
Nisahii Kujiona muhimu kuliko mwenzio kwa sasa kama wote mnalengo moja
LISU anapigania nn na MAGU anataka nn?
Mkuu wa nchi ni kweli hajui Lisu anataka nn? Kwa nchi yake nina maswali mengi wadau mnisaidie hoja hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Du!Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.
Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.
Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, kweli unaweza kulinganisha ndimu na embe?Nimekaa na kutafari bila majibu hii vita ya nini?
Katika nchi changa kama Tanzania tunatunishiana misuli kwa jambo ambalo ni la kujenga nchi
Nisahii Kujiona muhimu kuliko mwenzio kwa sasa kama wote mnalengo moja
LISU anapigania nn na MAGU anataka nn?
Mkuu wa nchi ni kweli hajui Lisu anataka nn? Kwa nchi yake nina maswali mengi wadau mnisaidie hoja hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.
Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.
Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.
Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.
Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu
Sent using Jamii Forums mobile app