Lissu usimjibu Albert Msando, mimi Namjibu

Lissu usimjibu Albert Msando, mimi Namjibu

Ndugu,

Ameweka kifungu cha 'KAZI' za Kamati Kuu. Hajasema ni wapi nimesema Kamati Kuu haina mamlaka.

Swali langu ni rahisi sana, JE UTARATIBU wa kumvua mtu nafasi za uongozi unasemaje? Katiba ya Chama ina vipengele vinavyotoa utaratibu gani ufuatwe pale Kamati Kuu inapotekeleza wajibu wake.

Hayo mengine ya ujanja, sifa, utoto nk sio yangu kujibu. Sitajishughulisha nayo.

Albert.
sasa unataka nikupe darasa au?
 
kumbe chadema ukiuliza matumizi ya ruzuku wewe ni msaliti????????????????????????????? jaman ata saccos znakaguliwa..
 
Mbona watuhumiwa wenyewe wamekubalii makosa??? Ingekuwa mahakamani mbona ungekuta na jukumu tayari wako lumpango wanapupu kwa debe!!!!??? Huyu diwani asituletee za kuleta!!! Ni mtu mdogo sana huyo kwa chama hiki, awe makini aendelee kuwatumikia watanzia katika ward yake!!! Asirukiwa train and ndege kwa mbele au mkiani!!
 
Tatu,

Unayosema ni kweli. Katika hali ya kawaida hayo yangejadiliwa kwenye vikao na kurekebishwa. Tatizo limeshajitokeza na lazima tukubali kwanza halafu tutatue.

Sioni kwa nini tuogope kukiri tatizo na kulitatua. Katika hili tumekosea. Na ni jambo la kawaida kabisa kukosea. Utaratibu haujafuatwa. Kama ukifuatwa wahusika watahukumiwa na kuadhibiwa kwa haki.

Ni matumaini yangu busara itatamalaki na wote tutajifunza.


Nimekuelewa toka mwanzo. Kinachonikwaza mimi ni dhana ya kutangazia dunia nzima kabla ya kulifanyia kazi kwanza. Ni kwanini msilifanyie kazi kwanza halafu ndio mtangazie dunia kwamba kulikuwa na makosa katika maamuzi A, B, C kutokana na kipengele hichi lakini tumeshafanya marekebisho X, Y, Z.

Hata wakikata rufaa haitasaidia kwasababu katiba haijafanyiwa marekebisho unayoyasema na kosa litajirudia tena.
 
Kumbe hata wewe huijui Chadema kabisa.nani kakwambia Kitila alikuwa mjumbe wa kuteuliwa?Kitila alikuwa mjumbe wa kuchaguliwa kwa kura yeye pamoja na Pro Baregu na walishinda kwa kura nyingi akiongoza Baregu.Kina Mbowe na Katibu ndio wanaingia kwa nafassi za vyeo vyao then kuna zuile nafasi 5 za wabunge ambazo ndio za kuteuliwa kama Mbatia,humo unamkuta Lema na wenzake.
Acha kuropoka jkama hujui ukweli na hukuwemo kwenye uchaguzi.
kitila mkumbo ni wa kuteuliwa na si kuchaguliwa, aligombea na alishindwa akapita prf. baregu.
 
Huyu Msando naona ile ngoma alopewa na nsia swai imeanza kula spinal

Kumbe Nsia Swai alishaukwaa??? Hivi yuko wapi huyu dada aliyetamba Ze utamu na picha za u c h i? Hujafa hujaumbika!!
 
kumbe chadema ukiuliza matumizi ya ruzuku wewe ni msaliti????????????????????????????? jaman ata saccos znakaguliwa..
 
Let zito and mkumbo speak the truth and not beating around the bush by telling liars
 
jamani wenye data tupeni ukweli - maana kuna vitu viwili hapa juu ya ujumbe wa kamati kuu wa kitila - mimi siondoki kwenye uzi huu hadi nipate ukweli.
 
ZOGWALE; Yupi tena huyo wa viti maalum? Mambo siku hizi hadharani tu!!! Ili na wengine wakae chonjo.

Penye red Yule mbowe aliyempa mimba dn akampa ubunge wa viti maalum ambaye kwa sasa ananyonyesha
 
CDM mumelogwa na nani? Mbona mnapigana vijembe wenyewe? Kuna mtu waCCM hapo? Kuna masalia katika Hilo?

Mnajimaliza wenyewe yangu macho

MTACHOMA VIJUMBA VYA WAPEMBA NA KUVIMALIZA!!! BAADAE MTAKUJA KUONA NYINYI SI WAUNGUJA WALA WAZANZIBAR KUNA WABARA, NA MABAKI YA WAARABU WA OMAN, SYRIA, YEMEN, WAKOMORO NK.
Hawawezi kukaa salama baada ya dhambi wanayoiendekeza ya Ukanda, Ukabila na Matumizi yasiyo ya wazi ya fedha za chama.....Hawatabaki wamoja maans watakuwa wameshasema HUYU HAFAI HAPA KWA KUWA SI MHAYA na NAFASI NYETI HII SI YA MNYAKYUSA Hapo anafaa MSUKUMA
W a p a s u l i e tu
Napitaaaaaaaaaa!
 
Whatever goes round it must turn round,historia ya siasa hues haidanganyi,nyote mnaoshabikia uharamia wa chadema kesho yatawakuta
 
Back
Top Bottom