Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Tundu Lissu hataki ajira, anataka maridhiano ya kitaifa. Ajira is just employment, maridhianobya kitaifa ni uwanja mpana, unafika hadi kwenye kupata tume huru ya uchaguzi ambayo haijaundwa na Mwenyekiti wa CCMKwani ile offer pale Ikungi haikuwa kwa maslahi ya taifa?