Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
" Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA NI WALE WALIOKUJA KUTOKEA ILE NCHI JIRANI KUFANYA ILE SHUGULI?
Kama umechoka kaa pembeni pisha wenye nguvuHaya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti
Mkuu inaelekea una NISSAN PATROL NYEUPE ?Hana atakalofanya ataumia tu
Mbona hiyo albadir haijawapata tu hao akina Makonda?Wanajulikana wote! Makonda akihojiwa anawajua wote!! Aminywe Makonda na chungu kitapasuka Moshi wa Ben Saanane utaoneka! Wa roma mkatoliki uko angani tayari, miili ya waliwekwa kwenye viroba na kuzikwa pale mto ruvu itatoa moshi unaolia Makonda!! Bashite!! Makonda!! Bashite!!! wasipomhoji machozi na albadir/maombi ya watanzania itamhoji kwa kilio na kusaga meno!!
Albadiri imeshindikana? Hakuna haja tena yuko safi.Wanajulikana wote! Makonda akihojiwa anawajua wote!! Aminywe Makonda na chungu kitapasuka Moshi wa Ben Saanane utaoneka! Wa roma mkatoliki uko angani tayari, miili ya waliwekwa kwenye viroba na kuzikwa pale mto ruvu itatoa moshi unaolia Makonda!! Bashite!! Makonda!! Bashite!!! wasipomhoji machozi na albadir/maombi ya watanzania itamhoji kwa kilio na kusaga meno!!
Uhuru, Habari leo na Tazama yapo. Wahangani huku?Haya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti
kweli mkuu, wamuache hasaHaya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti
Comment yako ni dalili ya magonjwa mtambuka.Hakuna cha ole wao wala nini. Mwangalie kwanza, mdomo kama anakula ugali wa moto.
Umeongea point sana mkuu yaani waandishi wa habari baadhi hua wanaandika heading kwa msisitizo sanaHaya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti