Mnamlisha maneno acheni uongo mwenzenu ana hali mbayaView attachment 592797
" Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA NI WALE WALIOKUJA KUTOKEA ILE NCHI JIRANI KUFANYA ILE SHUGULI?
Mwandishi ni chadema?CHADEMA mnajiabisha wenyewe
Kwa kumlisha maneno mtu anaye semekana yuko hoi bin tabaani
Shabiki wa CHADEMAMwandishi ni chadema?
Haya ni matunda ya vigazeti uchwara na waandishi uchwara.Haya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti
Tueleze ww Mrs wake utakua unajuaSamahani jamani. Ivi alieanguka bafuni juzi ni nani?
Imewapata. Sikia kauli zao zinazopingana."Ni msaliti, hastahili kuishi".......Nimesikitishwa na shambulio dhidi ya TL. "Wamekiuka taratibu za ki bunge, hatutagharamia".......Tupo tayari kugharimia matibabu ya TL popote duniani. Ila familia itoe maombi. Kwa kauli hizi chache za kujichanganya kwanini tusifikiri albadiri imewapata?mbona h
Mbona hiyo albadir haijawapata tu hao akina Makonda?
Hizo kauli inaelekea hujui tofauti ya Bunge (Parliament) na Serikali (Executive) Ndugai aliongea taratibu zao kibunge bunge wanafanya nn na Ummy aliongea kama Waziri jinsi serikali (Executive) wana fanya mambo yaoImewapata. Sikia kauli zao zinazopingana."Ni msaliti, hastahili kuishi".......Nimesikitishwa na shambulio dhidi ya TL. "Wamekiuka taratibu za ki bunge, hatutagharamia".......Tupo tayari kugharimia matibabu ya TL popote duniani. Ila familia itoe maombi. Kwa kauli hizi chache za kujichanganya kwanini tusifikiri albadiri imewapata?
Ulienda muona mkuu?Mnamlisha maneno acheni uongo mwenzenu ana hali mbaya