Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,619
- 26,024
Ok.Comment yako ni dalili ya magonjwa mtambuka.
Ok.Comment yako ni dalili ya magonjwa mtambuka.
Hapo kwenye Chadema Wapanga kumpeleka Marekani kwanini wasingeandika "" Sisi Tumepanga Kumpeleka Marekani""
Hukumsikia yule jamaa aliyezuia maombi anaomba aombewe?mbona h
Mbona hiyo albadir haijawapata tu hao akina Makonda?
Huu ni uchochezi na mhariri angefikiri upya juu ya kichwa cha habari
acheni propaganda wakati mnajua hali ya lisu ikoje. lisu hawezi kusema hayo maneno wakati yu na hali mbaya
huu sasa ni mzaha.Siasa mpaka kwenye hali ya umauti?
Atawafanya nini?Atulie apatiwe tiba, siyo wakati wakuanza kutomboka sasa hv tiba kwanzaaaaa
nasikia tayari wameshajulikana,na wamelimwa barua na cha cha mawakili UingerezaOle Wake Kina Nani?Watu Wasiojulikana?
hii ni aibu.Mtu hajawahi kuongea na media halafu gazeti linaibuka na kauli yake.Upotoshaji mtupu umefanyika. Hii habari pia ingeonekana kwenye vyombo vingine vya habariIsijekua wanamlisha maneno tu
we ndiyo umepotea kabisa.UrHakuna cha ole wao wala nini. Mwangalie kwanza, mdomo kama anakula ugali wa moto.
hili gazeti limekosa aibuWhat if?? Haya magazeti yasituchoshe
albadri ni abrakadabra ya imani tu haina madharambona h
Mbona hiyo albadir haijawapata tu hao akina Makonda?
Jitokeze kwanza wewetunahitaji wanasiasa wengine wamsadie lissu kuleta haki hapa nchini,ukimya na unyenyekevu sio tafsiri ya uzalendo ni woga na ujinga
Usijidanganye Mola hafanyi kazi tunavyofikiria na kwa muda tunaotaka!! Muulize Lyatonga atakupa taarifa kamili!!Albadiri imeshindikana? Hakuna haja tena yuko safi.
wana makusudi yao si bureHuu ni uchochezi na mhariri angefikiri upya juu ya kichwa cha habari
Kwa hiyo mkuu umeamua tu kutuchekesha, au siyo!Hakuna cha ole wao wala nini. Mwangalie kwanza, mdomo kama anakula ugali wa moto.
Kama umecheka sawa.Kwa hiyo mkuu umeamua tu kutuchekesha, au siyo!